BIBI MLEMAVU ATATULIWA KERO YAKE
KATAVI: Bibi mlemavu wa macho ajulikanaye kwa jina la Adela Mlela mkazi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi ametoa malalamiko yake ya kuvamiwa eneo lake lenye hekali zaidi 60 ambalo limevamiwa na wachimbaji. Bibi huyo amesema eneo lake hilo lina madini ambapo ameimba kupewa fidia au maeneo yake hayo wayanunue kwa utaratibu maalum Afisa madini mkoa wa Katavi Andrew Mwalugaja amesema eneo hilo analitambua ambapo mara kadhaa amekua akitafuta njia bora ya bibi huyo kunufaika na eneo lake. Waziri wa madini Antony Mavunde ameagiza ndani ya siku saba kuanzia hii leo 12/05/2026 kutatua kero hiyo ili bibi huo apate haki yake haraka.

▶︎
WACHIMBAJI WALIA NA WAZIRI....

▶︎
TANGANYIKA YAGAWA HATI MILIKI 420

▶︎
MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAZAWA WANUFAIKE NA AJIRA ZILIZOPO.

▶︎
"WAKULIMA NA WAFUGAJI...

▶︎
JOURNEE MONDIALE DE BIODIVERSITE 2026

▶︎
HII NDIYO HOSPITALI YA WILAYA YA TANGANYIKA, RAIS SAMIA AMWAGA VIFAA.

▶︎
MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA

▶︎
UJENZI WA BOHARI YA MAFUTA PEMBA

▶︎
Trump Gets Booed & Falls Asleep During NBA Finals, Claims War is Almost Over & Goodbye Spencer Pratt

▶︎
SERIKALI MBIONI KUZINDUA KAMPUNI YA MFUKO WA DHAMANA KWA WACHIMBAJI WADOGO

▶︎
BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.

▶︎
TUHUMA ZA UCHUKUAJI NYETI WAENDELEA KULETA HOFU NDANI YA JAMII...

▶︎
WAKULIMA TANGANYIKA WANUFAIKA NA SAYANSI YA KILIMO

▶︎
ZPC imefanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa Bandari ya Makontena ya Mangapwani.

▶︎
WAFANYAKAZI WALIA NA STAHIKI ZAO.

▶︎
I bought the NEW BRAWL PASS! 😍 | Mohi Plays

▶︎
CHADEMA YAWASHA MOTO MPANDA....

▶︎
Je Wajua Kuwa Daraja la Umoja Mtambaswala linalounganisaha Tanzania na Msumbiji Linatembea?

▶︎
RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

▶︎
