"WAKULIMA NA WAFUGAJI...
KATAVI: Kufuatia mvutano uliopo kati ya wakulima na wafugaji katika kitongoji cha Silimule kilichopo kijiji cha Mwenge halimashauri ya Nsimbo mkoani Katavi ambapo serikali iliwatengea maeneo kwa ajili ya shughuli zao lakini bado wanakutana huku wakidai eneo halitoshi mahitaji yao. Kupitia hali hiyo mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amefika katika eneo hilo na kuwataka kuheshimu maamuzi ya serikali ya kutenga eneo la wafugaji na wakulima ambapo ameagiza mvutano huo kuisha haraka kwa kukubaliana na kuheshimu maamuzi ya serikali.

▶︎
TANGANYIKA YAGAWA HATI MILIKI 420

▶︎
CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

▶︎
Kilimo Almasi | Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa

▶︎
MWEKEZAJI AHARIBU MAZINGIRA

▶︎
'TOENI MIKOPO INAYOKIDHI' RC MRINDOKO.

▶︎
TIMELAPSE - Harvesting a Giant Beehive Under an Ancient Tree and Bringing It to Sell at the Market

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
HII NDIYO HOSPITALI YA WILAYA YA TANGANYIKA, RAIS SAMIA AMWAGA VIFAA.

▶︎
Gachagua lands in Kisumu, MOCKS Ruto "Alikuja Kupika Samaki huku!" Crowds ERUPT

▶︎
NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

▶︎
'TUMIENI MIZANI KUPIMA MAZAO'-RC MRINDOKO

▶︎
BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.

▶︎
RUWASA WILAYANI SIKONGE KUTEKELEZA DIRA YA TAIFA YA 2050

▶︎
TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

▶︎
POULTRY DRONES

▶︎
What Happens After Moiben? We Had No Idea...| Kapcherop | The Highlands of Elgeyo Marakwet!

▶︎
Update from Ukraine | Great News! Ukraine Hits Russia's Weakest Points

▶︎
WATU KUTOKA KINSHASA WA WASILI KAZIMIA KUTAZAMA MRADI WAO

▶︎
HUU NDIO MWAROBAINI KWA WANAOCHEZEA MIZANI YA KUPIMIA PAMBA

▶︎
