TANGANYIKA YAGAWA HATI MILIKI 420

Mkuu wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Onesmo Buswelu amewataka wananchi wa maeneo hayo kuhakikisha wanazingatia matumizi bora ya ardhi huku akisisitiza kutunza misitu inayohifadhiwa. Hayo ameyasema wakati akizindua ugawaji wa hati miliki za kimila 420 kwa baadhi ya wakazi wa kijiji cha Kaseganyama kilichopo wilayani humo ambapo amesisitiza kutumia hati hizo kwa faida zaidi. Kamishina msaidizi wa ardhi mkoani Katavi Chidiel Mrutu amewataka wananchi kuheshimu mipaka ya ardhi huku Alphonce Msigwa ambaye ni mratibu wa mradi wa kuhifadhi ikolojia ya hifadhi za Taifa za Katavi na Mahale akikazia kuheshimu matumizi bora ya ardhi.

HISTORIA FUPI YA WILAYA YA TANGANYIKA| KAREMA KUTUMIA PESA MARA YA KWANZA| MAKTABA
▶︎

HISTORIA FUPI YA WILAYA YA TANGANYIKA| KAREMA KUTUMIA PESA MARA YA KWANZA| MAKTABA

BILIONI 2 KUJENGA BARABARA YA LAMI KILOMITA 4 KIJIJI CHA MAJALILA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA.
▶︎

BILIONI 2 KUJENGA BARABARA YA LAMI KILOMITA 4 KIJIJI CHA MAJALILA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA.

'TOENI MIKOPO INAYOKIDHI' RC MRINDOKO.
▶︎

'TOENI MIKOPO INAYOKIDHI' RC MRINDOKO.

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.
▶︎

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

DC KALLI AINGILIA KATI KERO ZA MADEREVA WA MALORI LONGIDO
▶︎

DC KALLI AINGILIA KATI KERO ZA MADEREVA WA MALORI LONGIDO

TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA
▶︎

TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.
▶︎

BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.

SADIO MANÉ HUMILIATED BRAZIL AND SENEGAL INJURED THE BRAZILIAN NATIONAL TEAM WITH A HISTORIC DEFEAT!
▶︎

SADIO MANÉ HUMILIATED BRAZIL AND SENEGAL INJURED THE BRAZILIAN NATIONAL TEAM WITH A HISTORIC DEFEAT!

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration
▶︎

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

'TUMIENI MIZANI KUPIMA MAZAO'-RC MRINDOKO
▶︎

'TUMIENI MIZANI KUPIMA MAZAO'-RC MRINDOKO

HUU NDIO  MWAROBAINI  KWA WANAOCHEZEA MIZANI  YA  KUPIMIA PAMBA
▶︎

HUU NDIO MWAROBAINI KWA WANAOCHEZEA MIZANI YA KUPIMIA PAMBA

MAFUNDI RANGI KURASIMISHWA
▶︎

MAFUNDI RANGI KURASIMISHWA

WANANCHI NA ZIARA YA WAZIRI MKUU TANGANYIKA.
▶︎

WANANCHI NA ZIARA YA WAZIRI MKUU TANGANYIKA.

HII NDIYO HOSPITALI YA WILAYA YA TANGANYIKA, RAIS SAMIA AMWAGA VIFAA.
▶︎

HII NDIYO HOSPITALI YA WILAYA YA TANGANYIKA, RAIS SAMIA AMWAGA VIFAA.

Amazing Takeoff at Saba Airport! Pilot Risks Everything on the World’s Shortest Runway
▶︎

Amazing Takeoff at Saba Airport! Pilot Risks Everything on the World’s Shortest Runway

Listen and Feel the Peace | Tibetan Healing Sounds for Deep Meditation, Inner Peace & Soul Healing
▶︎

Listen and Feel the Peace | Tibetan Healing Sounds for Deep Meditation, Inner Peace & Soul Healing

Toka Hapa! Ichunngwah forced to Leave Abruptly after he said this about Uhuru in KAKAMEGA Today
▶︎

Toka Hapa! Ichunngwah forced to Leave Abruptly after he said this about Uhuru in KAKAMEGA Today

BIBI MLEMAVU ATATULIWA KERO YAKE
▶︎

BIBI MLEMAVU ATATULIWA KERO YAKE

MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA
▶︎

MELI KUBWA YA MIZIGO YATIA NANGA KAREMA KUPAKIA MAKAA YA MAWE KWENDA BURUNDI, WANANCHI WAFURAHIA