TANGANYIKA YAGAWA HATI MILIKI 420
Mkuu wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Onesmo Buswelu amewataka wananchi wa maeneo hayo kuhakikisha wanazingatia matumizi bora ya ardhi huku akisisitiza kutunza misitu inayohifadhiwa. Hayo ameyasema wakati akizindua ugawaji wa hati miliki za kimila 420 kwa baadhi ya wakazi wa kijiji cha Kaseganyama kilichopo wilayani humo ambapo amesisitiza kutumia hati hizo kwa faida zaidi. Kamishina msaidizi wa ardhi mkoani Katavi Chidiel Mrutu amewataka wananchi kuheshimu mipaka ya ardhi huku Alphonce Msigwa ambaye ni mratibu wa mradi wa kuhifadhi ikolojia ya hifadhi za Taifa za Katavi na Mahale akikazia kuheshimu matumizi bora ya ardhi.

▶︎
HISTORIA FUPI YA WILAYA YA TANGANYIKA| KAREMA KUTUMIA PESA MARA YA KWANZA| MAKTABA

▶︎
BILIONI 2 KUJENGA BARABARA YA LAMI KILOMITA 4 KIJIJI CHA MAJALILA, DC BUSWELU ASISITIZA UBORA.

▶︎
'TOENI MIKOPO INAYOKIDHI' RC MRINDOKO.

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

▶︎
DC KALLI AINGILIA KATI KERO ZA MADEREVA WA MALORI LONGIDO

▶︎
TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

▶︎
BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.

▶︎
SADIO MANÉ HUMILIATED BRAZIL AND SENEGAL INJURED THE BRAZILIAN NATIONAL TEAM WITH A HISTORIC DEFEAT!

▶︎
Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

▶︎
'TUMIENI MIZANI KUPIMA MAZAO'-RC MRINDOKO

▶︎
HUU NDIO MWAROBAINI KWA WANAOCHEZEA MIZANI YA KUPIMIA PAMBA

▶︎
MAFUNDI RANGI KURASIMISHWA

▶︎
WANANCHI NA ZIARA YA WAZIRI MKUU TANGANYIKA.

▶︎
HII NDIYO HOSPITALI YA WILAYA YA TANGANYIKA, RAIS SAMIA AMWAGA VIFAA.

▶︎
Amazing Takeoff at Saba Airport! Pilot Risks Everything on the World’s Shortest Runway

▶︎
Listen and Feel the Peace | Tibetan Healing Sounds for Deep Meditation, Inner Peace & Soul Healing

▶︎
Toka Hapa! Ichunngwah forced to Leave Abruptly after he said this about Uhuru in KAKAMEGA Today

▶︎
BIBI MLEMAVU ATATULIWA KERO YAKE

▶︎
