'TOENI MIKOPO INAYOKIDHI' RC MRINDOKO.
KATAVI: Wananchi katika halimashauri ya Mpimbwe mkoani Katavi wanaendelea kujikwamua kiuchumi kutokana na mikopo ya asilimia kumi inayotokana na mapato ya ndani. Mkurugenzi mtendaji wa halimashauri ya Mpimbwe Shamimu Mwariko amesema jumla ya milioni 365 zimetolewa kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu huku mkuu wa wilaya ya Mlele alhaji Majid Mwanga akiwapongeza watumishi wa halimashauri hiyo kwa namna wanavyosimamia mapato. Kupitia hali hiyo mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindo ameagiza halimashauri zote katika mkoa huo kujipanga namna ya kuanza kutoa mikopo zaidi ya uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo.

▶︎
BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.

▶︎
I left a life of luxury in America, only to come and live in isolation in Kenya | Tuko TV

▶︎
TANGANYIKA YAGAWA HATI MILIKI 420

▶︎
SISI ILEWE | 2026 Latest Nigeria Movie - Ego Nwosu, Kunle Remi, Kamo State

▶︎
MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA ZA KUTOSHA BUNGENI BAADA YA KUPINGA VIKALI TABIA ZA KISHOGA

▶︎
MH TASKA MBOGO NA OMBI MAALUM, WANANCHI WAFURAHISHWA

▶︎
CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

▶︎
RC Kunenge Awataka Wafugaji Kisarawe Kufuga Kisasa Kuinua Uchumi na Kukidhi Soko la Kimataifa

▶︎
FULL VIDEO KILICHOMPONZA MWENYEKITI WA MTAA HADI RC CHALAMILA KUAGIZA AKAMATWE | UTAPELI WA VIWANJA.

▶︎
UJENZI MELI 4 ZA MIZIGO ULIPOFIKIA BANDARI YA KAREMA| MELI YA PILI MAKAA YA MAWE YAPAKIWA KAREMA

▶︎
Ghana Just Made A HISTORIC Move To Retaliate South Africa’s Xenophobia

▶︎
BIBI MLEMAVU ATATULIWA KERO YAKE

▶︎
RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

▶︎
HII NDIYO HOSPITALI YA WILAYA YA TANGANYIKA, RAIS SAMIA AMWAGA VIFAA.

▶︎
"WAKULIMA NA WAFUGAJI...

▶︎
Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

▶︎
UJENZI WA BOHARI YA MAFUTA PEMBA

▶︎
KESI YA UHAINI YA LISSU YAIBUKA MAPYA, CHADEMA WADAI POLISI WAMEPANGA VURUGU MAHAKAMANI

▶︎
WAFANYAKAZI WALIA NA STAHIKI ZAO.

▶︎
