PPRA YASHINDA SABASABA 2026
Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imeibuka mshindi wa tuzo katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), mafanikio yanayotokana na ubora wa banda lake, utoaji wa elimu kwa umma na huduma bora kwa wananchi na wadau waliotembelea maonesho hayo. Katika kipindi chote cha maonesho, PPRA ilitoa elimu kuhusu sheria, kanuni na taratibu za ununuzi wa umma, matumizi ya mifumo ya kielektroniki katika ununuzi wa Serikali, pamoja na fursa zinazowawezesha wazabuni kushiriki kikamilifu katika zabuni za umma. Wananchi na wadau mbalimbali waliotembelea banda la PPRA walipata fursa ya kupata ufafanuzi kuhusu huduma zinazotolewa na mamlaka hiyo, huku wakisisitiziwa umuhimu wa uwazi, ushindani wa haki na uwajibikaji katika mfumo wa ununuzi wa umma. PPRA imeeleza kuwa ushindi huo ni chachu ya kuendelea kuboresha huduma zake, kuimarisha matumizi ya teknolojia katika ununuzi wa umma na kuongeza juhudi za kutoa elimu kwa wananchi na wadau ili kuhakikisha mfumo wa ununuzi wa umma unaendelea kuwa wenye ufanisi na kuchangia maendeleo ya taifa.

PSSSF YAENDELEA KUTOA FURSA ZA AJIRA KWA WANANCHI

GAVANA WA BOT ATEMBELEA MAONESHO YA SABASABA

Africa CEO Forum 2026: African business is thinking big

What does the future of journalism look like (Live) BBC Africa

WANACHAMA PSSSF WATOA KONGOLE KWA HUDUMA WANAZOPEWA

BANDA LA TPDC LAENEDELEA KUWA GUMZO SABASABA 2026

ELIMU YA FEDHA YAWAKOSHA WENGI SABASABA 2026

Meteorology Experts to Discuss Strengthening Early Warning Systems for Extreme Weather Events

UBUNIFU WA TEKNOLOJIA ZA VETA WAVUTA HISIA ZA WENGI SABASABA 2026

TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA YA FEDHA ZAFURAHISHWA NA MAFANIKIO YA MAONESHO YA SABASABA 2026

Zucchini have never tasted so good! A simple and delicious recipe that will drive everyone crazy!

TGDC SHINES AT SABASABA, PROVIDES GEOTHERMAL ENERGY EDUCATION

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

GBT YATOA ELIMU YA UCHEZAJI WA MICHEZO YA KUBAHATISHA SABASABA 2026

Mkuu wa Ndaki ya Kilimo: Kozi Mpya za SUA Zimejikita kwenye Ajira na Ubunifu

VETA YANYAKUA TUZO MSHINDI WA TATU SABASABA 2026

GAPCO YAELEZEA UMUHIMU WA GESI ASILIA NA UMUHIMU WAKE HASA KWENYE VIWANDA

WAKUFUNZI VETA WAELEZA FURSA ZIPATIKANAZO KWENYE MFUMO WA VSOMO

TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA YA FEDHA ZASHUKURU KWA MAFANIKIO YA USHIRIKI WA SABASABA 2026

