GAVANA WA BOT ATEMBELEA MAONESHO YA SABASABA

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania -BOT-, Emmanuel Tutuba, amesema sekta ya benki nchini inaendelea kuwa imara, huku benki zote zinazosimamiwa na BOT zikiwa na mitaji ya kutosha, ukwasi wa kutosha na uwezo wa kuendelea kutoa mikopo kwa wananchi na wafanyabiashara. Utuba ameyasema hayo katika Viwanja vya Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza na wanahabari na kuelezea hatua za BOT za kutangaza kiwango cha riba ya Benki Kuu kila robo mwaka ni sehemu ya sera ya fedha inayolenga kudhibiti mfumuko wa bei na kuhakikisha uchumi unaendelea kuwa imara. Amesema kuwa kiwango cha riba ya Benki Kuu ndicho kinachoongoza upatikanaji wa fedha kwa benki za biashara, ambazo baadaye huzipeleka fedha hizo katika mzunguko wa uchumi kupitia mikopo kwa sekta mbalimbali. Aidha ameongeza kuwa shughuli za masoko ya fedha zinaendelea kuimarika, huku dhamana na hati fungani za Serikali zikiendelea kuvutia wawekezaji. Alibainisha kuwa mfumo wa riba za soko unachochea ushindani, ambapo wakati mwingine Serikali hukopa kwa gharama nafuu zaidi, huku wawekezaji wakinufaika na mfumo wa SEMA NA BOT umeongeza ufanisi katika kupokea na kushughulikia malalamiko ya wananchi, hatua inayorahisisha mawasiliano kati ya Benki Kuu na umma pamoja na kuboresha huduma kwa wananchi.

TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA YA FEDHA ZAFURAHISHWA NA MAFANIKIO YA MAONESHO YA SABASABA 2026
▶︎

TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA YA FEDHA ZAFURAHISHWA NA MAFANIKIO YA MAONESHO YA SABASABA 2026

TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA YA FEDHA ZASHUKURU KWA MAFANIKIO YA USHIRIKI WA SABASABA 2026
▶︎

TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA YA FEDHA ZASHUKURU KWA MAFANIKIO YA USHIRIKI WA SABASABA 2026

Sankale: RUTO HAS SPENT OVER 20B IN OL KALOU&IS NOW SETING FEAR & GOONISM FOR 2027 GENERAL ELECTIONS
▶︎

Sankale: RUTO HAS SPENT OVER 20B IN OL KALOU&IS NOW SETING FEAR & GOONISM FOR 2027 GENERAL ELECTIONS

PSSSF YAENDELEA KUTOA FURSA ZA AJIRA KWA WANANCHI
▶︎

PSSSF YAENDELEA KUTOA FURSA ZA AJIRA KWA WANANCHI

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST
▶︎

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

KUTUMBULIWA KWA SHEIKH WALID MWAIPOPO ATOA NENO
▶︎

KUTUMBULIWA KWA SHEIKH WALID MWAIPOPO ATOA NENO

ELIMU YA FEDHA YAWAKOSHA WENGI SABASABA 2026
▶︎

ELIMU YA FEDHA YAWAKOSHA WENGI SABASABA 2026

GAPCO YAELEZEA UMUHIMU WA GESI ASILIA NA UMUHIMU WAKE HASA KWENYE VIWANDA
▶︎

GAPCO YAELEZEA UMUHIMU WA GESI ASILIA NA UMUHIMU WAKE HASA KWENYE VIWANDA

GAVANA BENKI KUU NDANI YA KIJIJI CHA BIMA
▶︎

GAVANA BENKI KUU NDANI YA KIJIJI CHA BIMA

🔴#LIVE: MJADALA MZITO WA DEMOKRASIA,BAGONZA SHEIKH PONDA WANAUNGURUMA MUDA HUU
▶︎

🔴#LIVE: MJADALA MZITO WA DEMOKRASIA,BAGONZA SHEIKH PONDA WANAUNGURUMA MUDA HUU

#LIVE: CHADEMA KANDA YA KATI WANATOA TAMKO ZITO SAKATA LA HECHE NA LISSU MUDA HUU
▶︎

#LIVE: CHADEMA KANDA YA KATI WANATOA TAMKO ZITO SAKATA LA HECHE NA LISSU MUDA HUU

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI  | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42
▶︎

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42

WANACHAMA PSSSF WATOA KONGOLE KWA HUDUMA WANAZOPEWA
▶︎

WANACHAMA PSSSF WATOA KONGOLE KWA HUDUMA WANAZOPEWA

SALAMU ZA AFISA MTENDAJI MKUU GPSA MAONESHO YA SABASABA 2026
▶︎

SALAMU ZA AFISA MTENDAJI MKUU GPSA MAONESHO YA SABASABA 2026

KILIMO AJIRA YANGU:TARI ILONGA WATAFITI MBEGU BORA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI 19.04.2025
▶︎

KILIMO AJIRA YANGU:TARI ILONGA WATAFITI MBEGU BORA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI 19.04.2025

KAMPENI YA NGORONGORO YAZIDI KUBAMBA SABASABA
▶︎

KAMPENI YA NGORONGORO YAZIDI KUBAMBA SABASABA

EWURA YATOA ELIMU YA MASUALA YA UMEME KATIKA MAONESHO YA SABASABA
▶︎

EWURA YATOA ELIMU YA MASUALA YA UMEME KATIKA MAONESHO YA SABASABA

SHINYANGA ANNOUNCES INVESTMENT OPPORTUNITIES AT SABASABA 2026
▶︎

SHINYANGA ANNOUNCES INVESTMENT OPPORTUNITIES AT SABASABA 2026

ELIMU YA BIMA KWA WATANZANIA KUTOKA KIJIJI CHA SABASABA - 2026
▶︎

ELIMU YA BIMA KWA WATANZANIA KUTOKA KIJIJI CHA SABASABA - 2026

DIB WAELEZEA MABORESHO MAPYA KWA WAZIRI WA FEDHA
▶︎

DIB WAELEZEA MABORESHO MAPYA KWA WAZIRI WA FEDHA