UNDP YAKABIDHI BAJAJI 14 KWA SERIKALI YA ZANZIBAR

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Ofisi ya Rais – Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora imepokea bajaji 14 pamoja na gari moja kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP), kwa lengo la kuimarisha utendaji wa Idara ya Katiba na Sheria katika utoaji wa huduma kwa wananchi. Akizungumza katika hafla ya makabidhiano, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Haroun Ali Suleiman, amesema msaada huo utaongeza ufanisi wa watumishi na kuboresha utekelezaji wa majukumu ya kila siku. Kwa upande wake, Mwakilishi Mkazi wa UNDP Tanzania, Bw. Shigeki Komatsubara, amesema UNDP itaendelea kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuimarisha sekta ya sheria, utawala bora na upatikanaji wa haki kwa wananchi. Naye Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Katiba na Sheria, Bi. Moza Rajab Baraka, ameishukuru UNDP kwa msaada huo, akieleza kuwa bajaji hizo pamoja na gari hilo vitarahisisha utoaji wa huduma na kuongeza uwezo wa kuwafikia wananchi kwa wakati. Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi wa Serikali, maafisa wa Idara ya Katiba na Sheria pamoja na wadau wa maendeleo, huku ushirikiano kati ya Serikali na UNDP ukielezwa kuwa nguzo muhimu katika kuimarisha huduma za kisheria na utawala bora Zanzibar. #ASAMOnlineTV #Zanzibar #UNDP #UtawalaBora #Katiba #Sheria #Maendeleo #Habari #News #FYP #ForYou #Trending #TikTokTanzania #Viral #GoodGovernance #Development

MBUNGE PONDEZA AJITOSA KUMSAIDIA KIJANA WA MAKWACHU ALIYEPOOZA MWILI
▶︎

MBUNGE PONDEZA AJITOSA KUMSAIDIA KIJANA WA MAKWACHU ALIYEPOOZA MWILI

MHE. HEMED AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA RC MJINI MAGHARIBI
▶︎

MHE. HEMED AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA MAMA MZAZI WA RC MJINI MAGHARIBI

TUKIO LA HATARI SERENGETI MUONGOZA WATALII AKICHEZA NA DUMA, ONYO LATOLEWA, ANAWEZA KUVUNJA MGUU
▶︎

TUKIO LA HATARI SERENGETI MUONGOZA WATALII AKICHEZA NA DUMA, ONYO LATOLEWA, ANAWEZA KUVUNJA MGUU

KWANINI JOHN OKELLO ALITOWEKA BAADA YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR?
▶︎

KWANINI JOHN OKELLO ALITOWEKA BAADA YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR?

MAJENGO YA KIHOSTORIA YAENDELEA KUKARABATIWA ZANZIBAR
▶︎

MAJENGO YA KIHOSTORIA YAENDELEA KUKARABATIWA ZANZIBAR

MAKAMU WA PILI WA RAIS ASEMA SASA FIDIA ZILIPWE
▶︎

MAKAMU WA PILI WA RAIS ASEMA SASA FIDIA ZILIPWE

SEREKALI ZANZIBAR YAPIGA MARUFUKU KUPIGWA MUZIKI  MITAANI KWA MAANA YA RUSHA ROHO
▶︎

SEREKALI ZANZIBAR YAPIGA MARUFUKU KUPIGWA MUZIKI MITAANI KWA MAANA YA RUSHA ROHO

SABA SABA YASHEREHEKEWA KWA AMANI NA UTULIVU - ZANZIBAR
▶︎

SABA SABA YASHEREHEKEWA KWA AMANI NA UTULIVU - ZANZIBAR

"SERIKALI IMEJIPANGA KUWAWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI KUPITIA MIFUMO SHIRIKISHI NA ENDELEVU"..MHE.HEMED
▶︎

"SERIKALI IMEJIPANGA KUWAWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI KUPITIA MIFUMO SHIRIKISHI NA ENDELEVU"..MHE.HEMED

DC LAILAH AAGIZA BI. AZIZA AKAMATWE KWA TUHUMA ZA KUHUJUMU MAJI - MTOFAANI
▶︎

DC LAILAH AAGIZA BI. AZIZA AKAMATWE KWA TUHUMA ZA KUHUJUMU MAJI - MTOFAANI

DC LAILAH AKAMATA WAYA ZA UMEME ZILIZOIBIWA BUMBWISUDI
▶︎

DC LAILAH AKAMATA WAYA ZA UMEME ZILIZOIBIWA BUMBWISUDI

UNDP YAKABIDHI MAGARI MATANO KWA MAMLAKA YA HALI HEWA TANZANIA (TMA)
▶︎

UNDP YAKABIDHI MAGARI MATANO KWA MAMLAKA YA HALI HEWA TANZANIA (TMA)

TAZAMA UJENZI WA DARAJA LA PANGANI ULIPOFIKIA // ZIARA YA BODI YA USHAURI YA TANROADS  DISEMBA 2025
▶︎

TAZAMA UJENZI WA DARAJA LA PANGANI ULIPOFIKIA // ZIARA YA BODI YA USHAURI YA TANROADS DISEMBA 2025

MAAJABU YA BANDARI YA MPIGA DURI MAKAMO WA PILI WA RAIS AFIKA KUKAGUA
▶︎

MAAJABU YA BANDARI YA MPIGA DURI MAKAMO WA PILI WA RAIS AFIKA KUKAGUA

ITAKULIZA HOTUBA HII YA UKOMBOZI NA UZALENDO WA MFALME JPM KWA SISI WATOTO WAKE.
▶︎

ITAKULIZA HOTUBA HII YA UKOMBOZI NA UZALENDO WA MFALME JPM KWA SISI WATOTO WAKE.

KIJANA WA MAKWACHU ALIYEPOOZA MWILI AANZA MATIBABU
▶︎

KIJANA WA MAKWACHU ALIYEPOOZA MWILI AANZA MATIBABU

AHUKUMIWA MIAKA 20 - ALIYE MCHARANGA VISU MKE MWENZIE
▶︎

AHUKUMIWA MIAKA 20 - ALIYE MCHARANGA VISU MKE MWENZIE

KISAUNI YAACHANA NA KERO YA BARABARA MBOVU
▶︎

KISAUNI YAACHANA NA KERO YA BARABARA MBOVU

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.
▶︎

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.