DC LAILAH AAGIZA BI. AZIZA AKAMATWE KWA TUHUMA ZA KUHUJUMU MAJI - MTOFAANI
Mkuu wa Wilaya ya Magharibi "A" Unguja, Lailah Burhan Ngozi, ameagiza kukamatwa kwa Bi. Aziza Ali Hamad, mkazi wa Shehia ya Mtofaani, kwa tuhuma za kuhujumu huduma ya maji baada ya kudaiwa kujihusisha na uunganishaji wa maji kwa manufaa binafsi, hali inayodaiwa kusababisha baadhi ya wananchi kukosa huduma hiyo. Agizo hilo limetolewa wakati wa ziara ya kusikiliza kero za wananchi katika Shehia ya Mtofaani, Wilaya ya Magharibi "A" Unguja, Mkoa wa Mjini Magharibi. DC Lailah amesema Serikali haitamvumilia mtu yeyote anayehujumu huduma za kijamii na kuathiri ustawi wa wananchi, akisisitiza kuwa sheria zitachukua mkondo wake kwa yeyote atakayebainika kufanya vitendo hivyo. Kwa upande wake, Sheha wa Shehia ya Mtofaani amesema amekuwa akifanya jitihada za kumuita Bi. Aziza kwa lengo la kutatua suala hilo kwa njia ya mazungumzo, lakini amedai kuwa amekuwa haiti wito wa uongozi wa shehia, hali iliyosababisha kuchukuliwa kwa hatua za kisheria. #ASAMOnlineTV #Zanzibar #MagharibiA #Mtofaani #HudumaYaMaji #Habari #News #FYP #Trending #TikTokTanzania #Viral #RuleOfLaw #Community

MBUNGE PONDEZA AJITOSA KUMSAIDIA KIJANA WA MAKWACHU ALIYEPOOZA MWILI

MJI MKONGWE YAVUNJA UKIMYA, YATOA ONYO KALI KWA WAVUNJIFU WA SHERIA

TARIME WAKATAA UNYONGE WASHUSHA HOJA NZITO KWA WAZIRI MKUU

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

Martini e nxane Biben tuj i jape “fare” Xhulit tinez !

RC MJINI MAGHARIBI ATAKA WALIOHUSIKA NA VURUGU DARAJANI WAJISALIMISHE

TAHARUKI! MTU MMOJA AMEFARIKI - WATU 7 WAMEJERUHIWA kwa MLIPUKO wa BARUTI MWANZA - KAMANDA AELEZA..

MAMLAKA YA USAFIRI NA USALAMA BARABARANI ZANZIBAR YATANGAZA ADA NA TOZO MPYA 108

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

KISAUNI YAACHANA NA KERO YA BARABARA MBOVU

ZBS YAMJENGEA NYUMBA BI. BIHALIMA

ZFDA YATEKETEZA BIDHAA ZILIZOISHA MUDA WA MATUMIZI, SOSEJI, NYAMA NA MAFUTA

NIGERIAN CITIZENS STRANDED IN SOUTH AFRICA AMIDST XENOPHOBIC ATTACKS.

NANI YUPO NYUMA YA MAANDAMANO YA TAREHE 7? JAMES MBOWE AFICHUA KILA KITU

MHE. AYOUB ARUDI CHAANI, ZAIDI YA MILIONI 425 ZATENGWA KWA AJILI YA ELIMU

My Husband Went Missing After Going to Buy Milk, 6 Months Later I Found Him a Mad Man

Gachagua to Ruto: Leave journalists alone, don't take Kenya back to the dark days of the 80s and 90s

Former Liberian President Charles Taylor's Opening Statement - 14 July 2009 Part 1

Inside Israel’s torture prison camps | One on one with Khaled Mahajna

