TUKIO LA KUSIKITISHA: KIJANA AKUTWA AMEFARIKI MAGOGONI
Sikitiko na simanzi vimetanda katika eneo la Magogoni kufuatia kifo cha kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Steven Lazaro, mwenye umri wa miaka 30, aliyekutwa amefariki ndani ya chumba chake. Kwa mujibu wa taarifa za awali, mwili wa marehemu uligunduliwa majira ya saa 12 jioni baada ya majirani na ndugu kutilia shaka ukimya wake kwa muda mrefu, jambo lililowafanya kutoa taarifa kwa uongozi wa shehia. Baada ya kupokea taarifa hizo, viongozi wa shehia kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi walifika eneo la tukio, ambapo mwili wa marehemu ulichukuliwa kwa ajili ya uchunguzi zaidi ili kubaini chanzo cha kifo hicho. Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo, huku wananchi wakihimizwa kusubiri taarifa rasmi zitakazotolewa baada ya uchunguzi kukamilika.

MABAUNSA WAUA MTU BAA, CHALAMILA AFUNGUKA, BAA ZAPEWA SIKU SABA

🔴#LIVE: CCM na ACT ZANZIBAR KUNAFUKUTA? - BADO HAKUNA MAKUBALIANO? -CHADEMA YAPIGWA na KITU KIZITO..

SIMANZI BUBUBU: VIJANA WATATU WAFARIKI KWA KUZAMA KATIKA MTO MWANAMANJAA

MUME AMEKUFA MAMA MKWE ,WIFI NA SHEMEJI WANANIFUKUZA WAMECHUKUA NA HATI YA NYUMBA NA VIWANJA

RAIS SAMIA AWAJIBU JUMUIYA YA MADOLA SAKATA LA LISSU, "MATAMKO YANATUWEKA KATIKA WAKATI MGUMU"

Tundu Lissu: Je, mapambano yake yamefika mbali kupita kiasi?

🔴#Live:MAMA FATMA AIBIWA PESA YA NAULI! MASWALI MAGUMU KUHUSU AJENT,MKATABA NA HAKI ZA WAFANYAKAZI..

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42

LIVE CROWN SPORTS:USAJILI YANGA & SIMBA UNATIKISA BONGO NBCPL/ UCHAGUZI YANGA SC UMENOGA.

He Executed His Entire Family, Fled Across 3 Countries… Then Made ONE Fatal Mistake

KUTUMBULIWA KWA SHEIKH WALID MWAIPOPO ATOA NENO

MAMA MKWE EP 10

DOTTO MAGARI AMVUA NGUO BOSS WA KATORO/ SHIFTA NA POUL BRAND NYIEE NI VILEMA WA MAISHA/ COMEDIANI

'Sina ujasiri alio nao Lissu' asema mke wa Tundu Lissu. Katika Matangazo ya Dira ya Dunia TV.

LIVE🔴: UFAFANUZI JUU YA MAKUBALIANO YA MARIDHIANO YA ZANZIBAR MKOANI - PEMBA

CHADEMA na MACHAFUKO ya OKTOBA 29: JAJI MANYOTA AIBUKA na MKANGANYIKO MZITO....

WAZAZI WAONYWA KUONGEZA ULINZI WA WATOTO BAADA YA VIFO VYA WATOTO WATATU KWA KUZAMA

VYAMA 12 VYA SIASA VAPONGEZA MARIDHIANO, VYASISITIZA UMUHIMU WA KUTUNZA USIRI WA MAZUNGUMZO

Tundu Lissu: A Fight Too Far? - BBC Africa Eye Documentary

