MABAUNSA WAUA MTU BAA, CHALAMILA AFUNGUKA, BAA ZAPEWA SIKU SABA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chlamila amemuagiza Mkuu wa wilaya ya Kinondoni kupitia upya utaratibu wa baa zinazouza pombe asubuhi badala ya watu kutafuta uchumi wanaishi kulewa chalamila ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na na wamiliki, wawakilishi na wafanyabiashara wanaotoa huduma za baa na night club katika wilaya ya Kinondoni “haiwezekani mtu amekaa baa anakunywa bia kutoka saa 12 mpaka saa 12 asubuhi lazima achukuliwe apelekwe muhimbili sababu unaweza kuwa umekaa na jini huelewi, tunapoeleke kwenye kujenga uchumi himilivu wa Mkoa wetu angalieni sana utaratibu wa kuruhusu baa kuanza kuuzwa pombe asubuhi kwanini nasema ivo kwasababu watu wetu na population yetu inahitaji kusaidiwa, itafika kipindi anayejiuza nae atasimama pale saa 24, tuhamasishe jamii kwenda kwenye uzalishaji sio ulevi”

SIMULIZI YA KUSIKITISHA, DAKIKA ZA MWISHO MAMA KABLA HAJAIBIWA MTOTO NA ANAYEDAI NI MUUGUZI

🚨 MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AFICHUA AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42 IRAN YOTE

BOT na TRA Waingilia Kati Mabilioni ya Harusi Katoro

SHUKA LA DOZEE LAZINDULIWA TANZANIA KWA MARA YA KWANZA ARUSHA, LINAOKOA VIFO VYA GHAFLA

UCHAMBUZI MZITO TAMKO LA MSIGWA, BBC ITAFUNGIWA!, JE LINA AFYA KWA TAIFA?

BREAKING | U.S. launches wave of attacks across Iran

MAHAKAMA GEITA YATOA AMRI MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA KUFIKISHWA MAHAKAMANI JULAI 20

RAIS SAMIA AWAJIBU JUMUIYA YA MADOLA SAKATA LA LISSU, "MATAMKO YANATUWEKA KATIKA WAKATI MGUMU"

US launches fresh Iran airstrikes after Trump's 'make a deal' warning

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42

BAA KUFUNGULIWA ASUBUHI ZIANGALIWE, WATU WAZALISHE UCHUMI KWANZA, RC CHALAMILA
![NDOA [EP 141] Love Story 💕💕💞💞 ##pasarbrand ##kiparabrand #love #drama #comedy](https://i.ytimg.com/vi/b5XN095_qCs/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEnCNACELwBSFryq4qpAxkIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAG4AvMY&rs=AOn4CLDsSSeX2U9D6xMz_qqwFe2ehMt6kQ&usqp=CCY)
NDOA [EP 141] Love Story 💕💕💞💞 ##pasarbrand ##kiparabrand #love #drama #comedy

ZNZ SIO YA CCM WALA ACT, VYAMA 12 VYATOA YA MOYONI SIRI ZA MAKUBALIANO KUVUJA BAADA YA MAKUBALIANO

ISRAEL YAILAUMU MAREKANI KUJAZA NDEGE za KIVITA KWENYE UWANJA wa BEN GURION YAITAKA IPUNGUZE..

HARUSI YA MABILIONI KATORO YAWAIBUA BoT

BI HARUSI WA KATORO ALIYETREND KUPEWA BILIONI AFUNGUKA "INANIOGOPESHA HATA KUSHIKA SIMU"

ALLY KAMWE ATOA TAARIFA USAJILI WA FEISAL NA AZIZ KI/KOCHA MPYA AMEANZA NAO/ WACHEZAJI HAWA KUACHWA

Serikali ya Uingereza yafunga ofisi zake za British council nchini Tanzania rasimi

Sisi wanafunzi wa Maalim Seif tuko tayari - Mansoor Yussuf | GUMZO LA MARIDHIANO

