SIMANZI BUBUBU: VIJANA WATATU WAFARIKI KWA KUZAMA KATIKA MTO MWANAMANJAA

Huzuni imetanda katika Shehia ya Bububu, Wilaya ya Magharibi "A" Unguja, kufuatia vifo vya vijana watatu wenye umri wa miaka 12, 13 na 15 waliopoteza maisha kwa kuzama katika Mto Mwanamanjaa walipokuwa wakitafuta wadudu aina ya kukuziwa. Vifo hivyo vimeziacha familia tatu katika majonzi makubwa, huku wananchi wa eneo hilo wakieleza masikitiko yao kutokana na kuwapoteza vijana waliokuwa tegemeo na nguvu kazi kwa familia zao. Akizungumza baada ya kutembelea na kutoa pole kwa wafiwa, Mkuu wa Wilaya ya Magharibi "A" Unguja, Mhe. Lailah Burhan Ngozi, ametoa salamu za rambirambi kwa familia zilizofiwa na kuwataka wazazi na walezi kuongeza uangalizi kwa watoto wao kwa kufahamu mahali walipo wakati wote, hususan wanapochelewa kurejea nyumbani. Kwa upande wao, wazazi wa marehemu hao wamesema tukio hilo limewaachia maumivu makubwa na kuwataka wazazi wengine kuwa makini zaidi katika kuwafuatilia watoto wao ili kuepusha matukio ya aina hiyo. Naye Diwani wa Wadi ya Bububu ametoa pole kwa familia zilizofiwa na kuwasihi wananchi kuwa waangalifu wanapokwenda katika maeneo ya mito, mabwawa na sehemu nyingine hatarishi, hasa kipindi ambacho watoto hupenda kutembelea maeneo hayo bila usimamizi wa watu wazima. Mwenyezi Mungu awarehemu marehemu hao, awape pepo ya milele na azipe familia zao subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu. Amina. #Zanzibar #Bububu #Mwanamanjaa #Habari #UsalamaWaWatoto #AsamOnlineTV #ForYou #FYP #TikTokTanzania

TUKIO LA KUSIKITISHA: KIJANA AKUTWA AMEFARIKI MAGOGONI
▶︎

TUKIO LA KUSIKITISHA: KIJANA AKUTWA AMEFARIKI MAGOGONI

Tundu Lissu: Je, mapambano yake yamefika mbali kupita kiasi?
▶︎

Tundu Lissu: Je, mapambano yake yamefika mbali kupita kiasi?

SIRI YAKO EPSODE 30 [ Laana Haifichiki ]
▶︎

SIRI YAKO EPSODE 30 [ Laana Haifichiki ]

BWAWA LAUA WATOTO WATATU ZANZIBAR
▶︎

BWAWA LAUA WATOTO WATATU ZANZIBAR

DOTTO MAGARI AMVUA NGUO BOSS WA KATORO/ SHIFTA NA POUL BRAND NYIEE NI VILEMA WA MAISHA/ COMEDIANI
▶︎

DOTTO MAGARI AMVUA NGUO BOSS WA KATORO/ SHIFTA NA POUL BRAND NYIEE NI VILEMA WA MAISHA/ COMEDIANI

🔴#Live:MAMA FATMA AIBIWA PESA YA NAULI! MASWALI MAGUMU KUHUSU AJENT,MKATABA NA HAKI ZA WAFANYAKAZI..
▶︎

🔴#Live:MAMA FATMA AIBIWA PESA YA NAULI! MASWALI MAGUMU KUHUSU AJENT,MKATABA NA HAKI ZA WAFANYAKAZI..

VIJANA WANAMEZESHWA SUMU KUCHUKIA SERIKALI
▶︎

VIJANA WANAMEZESHWA SUMU KUCHUKIA SERIKALI

DUNIA SEASON 02 (Ep 36)
▶︎

DUNIA SEASON 02 (Ep 36)

DC SAID HAJI MRISHO AKAGUA KARO LINALOVUJISHA MAJI MACHAFU FORODHANI
▶︎

DC SAID HAJI MRISHO AKAGUA KARO LINALOVUJISHA MAJI MACHAFU FORODHANI

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI  | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42
▶︎

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42

RAIS SAMIA AWAJIBU JUMUIYA YA MADOLA SAKATA LA LISSU, "MATAMKO YANATUWEKA KATIKA WAKATI MGUMU"
▶︎

RAIS SAMIA AWAJIBU JUMUIYA YA MADOLA SAKATA LA LISSU, "MATAMKO YANATUWEKA KATIKA WAKATI MGUMU"

DALILA ATELEKEZWA DAR AKIWA NA WATOTO 5 NA MTU ALIYEMTOA ZANZIBAR ILI KUMSAIDIA
▶︎

DALILA ATELEKEZWA DAR AKIWA NA WATOTO 5 NA MTU ALIYEMTOA ZANZIBAR ILI KUMSAIDIA

RAIS SAMIA AJIBU TAMKO LA JUMUIYA YA MADOLA “TANZANIA TUNAJALI HAKI ZA BINADAMU”
▶︎

RAIS SAMIA AJIBU TAMKO LA JUMUIYA YA MADOLA “TANZANIA TUNAJALI HAKI ZA BINADAMU”

WAWILI WAFARIKI BOTI IKIWAKA MOTO NDANI YA ZIWA VICTORIA -TASAC YAONGOZA OPERESHENI UOKOZI
▶︎

WAWILI WAFARIKI BOTI IKIWAKA MOTO NDANI YA ZIWA VICTORIA -TASAC YAONGOZA OPERESHENI UOKOZI

SHEIKH ABBASIA  RAMADHANI  BAADA YA KUTEULIWA USHEIKH WA MKOA WA DSM  AWASILI  BAKWATA NA KUONGEA
▶︎

SHEIKH ABBASIA RAMADHANI BAADA YA KUTEULIWA USHEIKH WA MKOA WA DSM AWASILI BAKWATA NA KUONGEA

HARUSI YA KIJESHI JKU
▶︎

HARUSI YA KIJESHI JKU

MWIJAKU "Diamond anamdharau ZUCHU/Amemzalisha  AALIYAH kimyakimya/Atajutia
▶︎

MWIJAKU "Diamond anamdharau ZUCHU/Amemzalisha AALIYAH kimyakimya/Atajutia

KUMBE BILIONEA WA KATORO AMTUNZA ALIKIBA MILIONI 300, ALITAKA BINTI YAKE AINGIE MSAFARA KAMA WA RAIS
▶︎

KUMBE BILIONEA WA KATORO AMTUNZA ALIKIBA MILIONI 300, ALITAKA BINTI YAKE AINGIE MSAFARA KAMA WA RAIS

MJANE ADHULUMIWA ENEO NA SHEMEJI YAKE NAKUUZA SHILINGI MIL 32 MTENDAJI ASITIZA NA WANA UKOO WASIMAMA
▶︎

MJANE ADHULUMIWA ENEO NA SHEMEJI YAKE NAKUUZA SHILINGI MIL 32 MTENDAJI ASITIZA NA WANA UKOO WASIMAMA

DC MJINI AKAGUA HOSPITALI YA MPENDAE, AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO ZILIZOPO
▶︎

DC MJINI AKAGUA HOSPITALI YA MPENDAE, AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO ZILIZOPO