RC Kunenge Aitakia Chalinze Mafanikio Zaidi ya Mapato
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge, ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze kwa kuendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato na kuvuka malengo iliyojiwekea. Amesema Chalinze imeendelea kuwa kinara mkoani kwa kuongeza wigo wa vyanzo vya mapato na kuwataka viongozi kuendelea kubuni vyanzo vipya vya mapato kwa ajili ya kuimarisha maendeleo. Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani cha kujadili Taarifa ya CAG ya mwaka 2024/2025, Mhe. Kunenge amesema kuwa kupata hati safi ni hatua muhimu, lakini mafanikio hayo yanapaswa kuambatana na mipango yenye vipaumbele sahihi na matokeo yanayogusa maisha ya wananchi. Aidha, amewataka madiwani kuendelea kushirikiana na watendaji katika kusimamia maendeleo na kuepuka migogoro isiyo ya lazima, huku akisisitiza uwajibikaji na matumizi bora ya rasilimali za umma kwa maendeleo ya wananchi wa Chalinze.

RC KUNENGE AONGOZA KIKAO KAZI NA WATENDAJI KATA ZOTE PWANI...

WITO KWA SEKTA BINAFSI KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA MAJI

RC Kunenge Awataka Wafugaji Kisarawe Kufuga Kisasa Kuinua Uchumi na Kukidhi Soko la Kimataifa

MANISPAA YA KIBAHA YATOA TSH MILIONI 991.5 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU...

Rc Kunenge, amewapongeza wafanyakazi kwa bidii na weledi wao uliosaidia mkoa huo kuongoza katika mae

RC KUNENGE AITAKA RUFIJI KUTENGA MAENEO YA UWEKEZAJI, AFURAHISHWA NA HATI SAFI YA CAG

Ethiopia is About to Explode.

Ndoa 130 Zafungwa Siku Moja Dar! Waziri Katambi Atoa Ujumbe Mzito...

Mkoa wa Pwani wajipanga utekelezaji wa Dira 2030 katika uwekezaji

160 KG VILLAGE MONSTER - The ANOMALY Nobody Can Explain - SUPERHUMAN ANDREY SMAEV

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #5 #adamrose #smartworkers

CORECU yatakiwa kuhakikisha wakulima wanazingatia uzalishaji wenye tija ili kukuza uchumi wao na kuo

Top Iranian officials THREATEN US over Hormuz after ceasefire violations

Ego Bodybuilder HUMILIATED Beyond Belief 🤯 | Anatoly GYM PRANK

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

KUNENGE AHAMASISHA UWEKEZAJI MKANGE

The New Face of Bibi Titi Road Dar Es Salaam in 2026 | new BRT System and 1000+ trees

Senegal Shocked The World & Destroyed England 😱🔥⚡ ❮ Senegal (3-1) England ❯ | Historic Comeback

RC MAKAME BAR STAFF DESERVE RESPECT AND PROTECTION LIKE OTHER EMPLOYEES.

