CORECU yatakiwa kuhakikisha wakulima wanazingatia uzalishaji wenye tija ili kukuza uchumi wao na kuo
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameielekeza CORECU kuhakikisha wakulima wanazingatia uzalishaji wenye tija ili kukuza uchumi wao na kuongeza mapato ya mkoa na Taifa. Ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 32 uliofanyika Kibaha. Amesisitiza umuhimu wa kufanya tathmini ya mara kwa mara kwa Vyama vya Ushirika vya Msingi (AMCOS) na kuweka malengo madhubuti yatakayosaidia kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo. Pia amewataka wakulima kuacha kusafisha mashamba kwa kuchoma moto, badala yake watumie njia bora za kilimo ili kulinda mazingira na kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha sekta ya kilimo. Kwa upande mwingine, Meneja wa CORECU amesema chama kinaendelea kuimarisha ushirika wa kibiashara kwa kujenga maghala, ambapo vyama 13 tayari vimekamilisha ujenzi na 27 vimenunua viwanja kwa ajili ya miradi hiyo.

Rc Kunenge, amewapongeza wafanyakazi kwa bidii na weledi wao uliosaidia mkoa huo kuongoza katika mae

DRAMA In Parliament As Ndindi Nyoro Badly Clashes With Kimani Ichung'wah Over National Debt!
![JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 2]](https://i.ytimg.com/vi/nsNMED63r_o/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLBAdv8YWmyFJDW4xOFh72FtTnTfwQ)
JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 2]

Is Kenya Ready to Invest in Its Science Future?

RC KUNENGE AONGOZA KIKAO KAZI NA WATENDAJI KATA ZOTE PWANI...

RC Kunenge Awataka Wafugaji Kisarawe Kufuga Kisasa Kuinua Uchumi na Kukidhi Soko la Kimataifa

What is the future of working from home? - The Global Story podcast, BBC World Service

MANISPAA YA KIBAHA YATOA TSH MILIONI 991.5 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU...

Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM

LEMA Asimulia GWAJIMA ALIVYOMWAMBIA LISSU "Usiende Dodoma, Utapigwa RISASI"

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA WILAYA YA CHAMWINO MKOANI DODOMA

RC Kunenge, amelitaka Jeshi la polisi Mkoa wa Pwani kuzingatia utii, nidhamu na weledi kazini

TVETA Launches 2024/2025 Quality Audit Report to Drive Excellence in TVET

Africa Newsroom : Formation professionnelle levier du développement

MATOKEO YA USAILI WA MAHOJIANO (ORAL) NA WALIOPO KWENYE KANZIDATA KUANZA KUWEKWA WAZI HIVI KARIBUNI

Prof Shivji Afunguka Uamuzi wa Mahakama Kuruhusu Rais, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Kushitakiwa

Traoré’s Massive Irrigation Network Is Stunning the World

RC KUNENGE AZINDUA KIWANDA KIKUBWA CHA MAGODORO AFRIKA MASHARIKI

EIFD Hybrid Workshop 3 City of Montebello

