MAMLAKA YA USAFIRI NA USALAMA BARABARANI ZANZIBAR YATANGAZA ADA NA TOZO MPYA 108
Mamlaka ya Usafiri na Usalama Barabarani Zanzibar imetangaza rasmi ada na tozo mpya 108, hatua inayolenga kuboresha utoaji wa huduma na kuongeza ufanisi katika sekta ya usafiri na usalama barabarani. Akizungumza wakati wa kutangaza mabadiliko hayo, Mwanasheria wa Mamlaka hiyo, Hassan Vuai Hassan, amesema marekebisho ya ada na tozo hizo yamefanyika baada ya kuwashirikisha wadau mbalimbali ili kuhakikisha viwango vipya vinazingatia hali halisi ya wananchi pamoja na mahitaji ya utoaji wa huduma. Amesema baadhi ya mabadiliko hayo yanahusisha ongezeko la ada ya fomu kutoka shilingi 2,000 hadi shilingi 10,000, marekebisho ya ada za wanafunzi wa udereva pamoja na leseni za vyombo vya moto vya magurudumu mawili. Aidha, amesema hatua hiyo inalenga kuboresha huduma zinazotolewa na mamlaka, kuimarisha usalama barabarani na kuhakikisha mfumo wa utoaji wa huduma unaendana na mahitaji ya sasa. #Zanzibar #Usafiri #UsalamaBarabarani #AdaMpya #Huduma #AsamOnlineTV #TrendingNow

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST
![SIRI YAKO EPSODE 27 [ Laana Haifichiki ]](https://i.ytimg.com/vi/WErQ_ErTGRI/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLCoCEUqqZptJmmncm62ZOq6quAJ_Q)
SIRI YAKO EPSODE 27 [ Laana Haifichiki ]

Wagonjwa wa Gaza wahangaika kupata matibabu licha ya vita kusitishwa. Katika Dira ya Dunia TV.

ITAKULIZA... TAZAMA WAZIRI MKUU AKIWAPAMBANIA Wananchi Kesi zao Mara

DC LAILAH AAGIZA BI. AZIZA AKAMATWE KWA TUHUMA ZA KUHUJUMU MAJI - MTOFAANI

🔴#TBCLIVE: WAZIRI MKUU AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA SHIRATI - RORYA

LISSU AITIKISA MAHAKAMA ya RUFANI! ATAKA DPP AMLIPE FIDIA - ADAI KUCHELEWESHWA kwa MAKUSUDI SIKU 139

MBUNGE PONDEZA AJITOSA KUMSAIDIA KIJANA WA MAKWACHU ALIYEPOOZA MWILI

MAMLAKA YA MJI MKONGWE YAWABANA WAFANYABIASHARA HOLELA DARAJANI

RC MJINI MAGHARIBI ATAKA WALIOHUSIKA NA VURUGU DARAJANI WAJISALIMISHE

MKUU WA WILAYA AWASHIWA MOTO NA WANANCHI ZANZBAR

MANISPAA YA MJINI ZANZIBAR YATOA AGIZO LA KUONDOA WAFANYABIASHARA WASIORASMI

GPS: Afrika Kusini hakukaliki! Waingia mtaani kufukuza wageni, June 30 ni mwisho, watakiwa kuondoka

After Years of Delays, Japan Finally Begins Kenya's $650 Million Mega Bridge

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

Achoma chumba Cha aliyekua mumewe, mke asikitika, Kianga Zanzibar.

KISAUNI YAACHANA NA KERO YA BARABARA MBOVU

ZBS YAMJENGEA NYUMBA BI. BIHALIMA

ZANZIBAR TAMKO LATOLEWA KUHUSU UINGIZWAJI WA CHAMA

