š£ TIBA MUHIMU YA VIFARANGA BAADA YA KUTOTOLESHWA | Siku 7 Za Mwanzo Zinaamua Mafanikio
š£ TIBA YA VIFARANGA BAADA YA KUTOTOLESHWA ā SIKU 7 ZA MWANZO NDIZO MSINGI WA MAFANIKIO! Katika video hii utajifunza: ā Jinsi ya kuwapa glucose na multivitamin siku za mwanzo ā Dawa za kuzuia kuharisha na coccidiosis ā Joto sahihi la brooder (32ā35°C wiki ya kwanza) ā Chanjo muhimu kama Newcastle (Lasota) na Gumboro ā Namna ya kupunguza vifo vya vifaranga kwa zaidi ya 80% Kama wewe ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, chotara au broiler, video hii ni muhimu sana kwako. Siku 7 za kwanza ndizo zinazoamua ukuaji na faida yako baadaye. š Jiunge na kundi letu la WhatsApp kwa mafunzo ya miezi 2 kwa Tsh 8,000/= š Vitabu vinapatikana: Safari ya Ufugaji (Toleo Jipya) Tiba za Asili kwa Kuku Ufugaji Bora wa Kuku wa Kienyeji Ufugaji wa Broiler š„ Tufuge pamoja, Ufugaji ni Fursa!

Anza na MATETEA 10, Jogoo 2, ndani ya Miezi 5 utazalisha kuku 200

TIBA 5 ZA ASILI kwa Kuku Zitakazokushangaza! Huenda Hukuwahi Kuzisikia š²š

MSOMI ALIYETOBOA KIMAISHA KUPITIA UFUGAJI BAADA YA KUKOSA AJIRA

UMUHIMU wa Ratiba ya Chanjo kwa kuku na kanga wako

TUMIA CHANJO YA TATU MOJA KUOKOA GHARAMA ZA UFUGAJI

Nini Cha kufanya vifaranga wa kienyeji wasivae makoti

KIJANA MWENYE NDOTO ZA KUWA BILIONEA KWA UFUGAJI WA KUKU

Umuhimu wa Limao kwa Kuku ā Siri ya Kuongeza Afya na Kinga Asili

Sababu 4 Zinazosababisha Kuku wa Kienyeji Wasitotoe Mayai Vizuri

Vyakula 7 Bora kwa Vifaranga wa Kienyeji na Chotara (Wanakuwa Haraka Sana!)

JINSI YA KUZUIA VIFO VYA VIFARANGA NDANI YA SIKU 14 ZA KWANZA

VIDEO HII : NI MUHIMU KWA MFUGAJI ANAYEANZA | LIKE & SHARE | WONDERS FARM TZ .

RATIBA YA KUWAPA KUKU WAKO CHANJO ILI WASIPATWE NA MAGONJWA Episode 8 #banda #chicken #kienyeji

Uleaji Wa Vifaranga Siku ya 1 - 7, Hatua kwa Hatua. Hatua zote Muhimu Kuzifahamu.

Namna ya kumuatamisha kuku mayai ya Kanga

Mimea 10 Yenye Nguvu kwa Vifaranga wa Kienyeji | Tiba za Asili Zenye Matokeo Makubwa

TIBA/DAWA YA UGONJWA WA VIFARANGA KUSHUSHA MBAWA

EPUKA MAKOSA HAYA ILI UFANIKIWE KWENYE UFUGAJI WA KUKU(BROILER)

VIFARANGA WAKO HAWATAKUFA TENA! Mimea 7 Ya Asili Kuzuia Vifo vya Vifaranga

