VIDEO HII : NI MUHIMU KWA MFUGAJI ANAYEANZA | LIKE & SHARE | WONDERS FARM TZ .

🐥 HATUA 5 ZA KULEA VIFARANGA VYA KUKU. Katika video hii utajifunza hatua 5 muhimu za kulea vifaranga vya kuku kwa mafanikio kuanzia siku ya kwanza hadi ukuaji mzuri wa siku 35. Tutazungumzia maandalizi ya banda, chakula na ratiba ya kula, chanjo, matumizi sahihi ya dawa (antibiotics), pamoja na vitamins ili kupunguza vifo na kuongeza faida. Video hii ni muhimu kwa mfugaji anayeanza na anayeendelea. #UfugajiWaKuku #Vifaranga #Hatua5ZaKuleaVifaranga #UfugajiBiashara #KukuBroiler #KukuKienyeji #ChanjoZaKuku #ElimuYaUfugaji #WondersAgroFarmTz #PoultryFarming #KukuTanzania