Namna ya kumuatamisha kuku mayai ya Kanga

Kanga siyo waatamiaji wazuri wa mayai yao kwa sababu hupenda kujificha sana na ni waoga wakiona mtu na ndio sababu hawaatamii kwa urahisi bandani kama kuku. Unaweza kusanya mayai yao na kuwapa kuku waatamie kwa siku 28-30. Hakikisha kuku unayempa ana sifa za kuatamia na kulea vizuri, awe na umbo kubwa na ukipata yule mkali ni vema zaidi kama utamwachia vifaranga avilee. kwa maoni na ushauri wa ufugaji piga 0686418546 au 0752207828