Sababu 4 Zinazosababisha Kuku wa Kienyeji Wasitotoe Mayai Vizuri

Katika video hii tumezungumzia sababu 4 zinazosababisha kuku wa kienyeji wasitotoe mayai vizuri na namna ya kuzitatua ili kuongeza uzalishaji. Endelea kutufuatilia kupata elimu sahihi na ya vitendo kuhusu ufugaji wenye faida. 📌 Jiunge na Kundi Letu la WhatsApp Utajiunga kwa muda wa miezi miwili kwa ada ya Tsh 8,000/= Ndani ya kundi utapata: Elimu ya ufugaji kwa vitendo Ushauri wa moja kwa moja Majadiliano na wafugaji wenzako 📚 Tunapatikana na Vitabu vifuatavyo (Softcopy – WhatsApp) 👉Safari ya Ufugaji (Toleo Jipya) 👉Tiba za Asili 👉Ufugaji Bora wa Kuku wa Kienyeji 👉Ufugaji wa Broiler 👉Mwongozo Maalumu wa Tiba za Asili 💰 Bei ya kila kitabu: Tsh 10,000/= 📲 Unatumiziwa softcopy kupitia WhatsApp mara baada ya malipo. ☎️ Mawasiliano 📞 0712 188 239 📞 0747 781 230 📺 karibu KingoFarm 🔥 Tufuge Pamoja 🌱 Ufugaji ni Fursa