SERIKALI YAIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI ARUSHA

Serikali ya Tanzania imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuboresha na kuzingatia uendeshaji wa Vyama vya ushirika Nchini ikiwa ni pamoja na kuwezesha upatikanaji wa mikopo nafuu, kupunguza urasimu katika utoaji wa huduma, kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa ushirika endelevu pamoja na kuhimiza nidhamu ya kifedha miongoni mwa wanachama wa Vyama vya ushirika Nchini Tanzania. Kauli hiyo imebainishwa na Mrajisi msaidizi wa Vyama vya ushirika Mkoa wa Arusha Bw. Robert Kenedy George, wakati wa jukwaa la 10 la wadau wa maendeleo ya ushirika Mkoa wa Arusha leo Juni 11, 2026 Wilayani Karatu, akibainisha kuwa vyama hivyo vya ushirika vimekuwa muhimu pia katika kuinua uchumi wa wananchi, akisisitiza umuhimu pia wa Vyama hivyo kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotokana na malighafi mbalimbali katika maeneo yao. "Katika mazingira ya sasa ya uchumi wa viwanda, Vyama vya Ushirika vina nafasi ya pekee na kubwa katika uzalishaji wa malighafi, uongezaji wa thamani na kuongeza fursa za ajira. Wanaushirika tuna nafasi kubwa za kutumia malighafi tulizonazo kuongeza uchumi wa wanachama wetu na kuongeza thamani ya mazao yetu ili wanachama wakaone mabadiliko katika maisha yao kupitia kilimo chao." Amesema Bw. George. Mrajisi huyo pia amesisitiza umuhimu wa Ushirika kuwa kichocheo cha tija katika uzalishaji, ongezeko la kipato cha Kaya na mchango chanya katika pato la Mkoa na Taifa kwa ujumla, akitaka uwekezaji wa pamoja kupitia mitaji ya wanachama na kwa pamoja kuanzisha miradi mikubwa ya maendeleo ambayo itanufaisha wanachama wengi zaidi. Bw. George amezungumzia pia kuhusu michakato ya uchaguzi ndani ya Vyama vya ushirika Mkoa wa Arusha itakayoanza mapema mwaka 2027, akisema kwamba Uongozi wa Vyama vya ushirika unapaswa kuwa wa mfano, wenye uadilifu, uwazi, ubunifu na kujitolea, akiwataka wanachama kuwachagua Viongozi waaminifu, wenye uwezo na maono ya kuendelza vyama vya Ushirika ambavyo vimekuwa vikiendeshwa kibiashara, akisema Serikali haitavivumilia kwa namna yoyote ile vitendo vya ubadhirifu, matumizi mabaya ya mali za wanachama wala ukiukwaji wa sheria zenye kuongoza Vyama vya Ushirika.

VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI ARUSHA, VYATAJWA KUWA MUHIMU UTEKELEZAJI WA DIRA 2050
▶︎

VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI ARUSHA, VYATAJWA KUWA MUHIMU UTEKELEZAJI WA DIRA 2050

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

The Transformation Changing Ethiopia's Agriculture | Dr. Mandefro Nigussie,
▶︎

The Transformation Changing Ethiopia's Agriculture | Dr. Mandefro Nigussie,

ULINZI, USALAMA NA USAF; VITACHANGIA KUKUA KWA UTALII, NA KUFANIKISHA MIKUTAKUTANO YA KIMATAIFA
▶︎

ULINZI, USALAMA NA USAF; VITACHANGIA KUKUA KWA UTALII, NA KUFANIKISHA MIKUTAKUTANO YA KIMATAIFA

LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 180 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU
▶︎

LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 180 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Funny Football Moments That Actually Happened 😂
▶︎

Funny Football Moments That Actually Happened 😂

TAKUKURU ARUSHA YASISITIZA UADILIFU KWA VYAMA VYA USHIRIKA MKOA WA ARUSHA
▶︎

TAKUKURU ARUSHA YASISITIZA UADILIFU KWA VYAMA VYA USHIRIKA MKOA WA ARUSHA

تلاوة القرآن للدراسة والتركيز 📚🕛 | راحة وطمأنينة | Peaceful Focus Quran | محمد هشام
▶︎

تلاوة القرآن للدراسة والتركيز 📚🕛 | راحة وطمأنينة | Peaceful Focus Quran | محمد هشام

RC MAKALLA AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA MBAUDA - LOSINYAI - LOSINYAI - TANGANYIKA PACKERS 🇹🇿
▶︎

RC MAKALLA AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA MBAUDA - LOSINYAI - LOSINYAI - TANGANYIKA PACKERS 🇹🇿

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

Open ANY Lock without a key in a flash!Smart DIY Tips
▶︎

Open ANY Lock without a key in a flash!Smart DIY Tips

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA WILAYA YA CHAMWINO MKOANI DODOMA
▶︎

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA WILAYA YA CHAMWINO MKOANI DODOMA

BENKI KUU TAWI LA ARUSHA WAADHIMISHA MIAKA 60 YA KUASISIWA KWAKE
▶︎

BENKI KUU TAWI LA ARUSHA WAADHIMISHA MIAKA 60 YA KUASISIWA KWAKE

RC MAKALLA AIPONGEZA HALMASHAURI YA LONGIDO NA HALMASHAURI ZA ARUSHA KWA KUPATA HATI SAFI🇹🇿
▶︎

RC MAKALLA AIPONGEZA HALMASHAURI YA LONGIDO NA HALMASHAURI ZA ARUSHA KWA KUPATA HATI SAFI🇹🇿

Deported To Nigeria With British Kids-  SHOCKING STORY!
▶︎

Deported To Nigeria With British Kids- SHOCKING STORY!

Nobody Breaks Celebrities Like Rowan Atkinson
▶︎

Nobody Breaks Celebrities Like Rowan Atkinson

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO
▶︎

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

WATANZANIA WATARAJIE KASI ZAIDI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA: MKURUGENZI MKUU TAKUKURU
▶︎

WATANZANIA WATARAJIE KASI ZAIDI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA: MKURUGENZI MKUU TAKUKURU

🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA
▶︎

🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA

The New Face of Bibi Titi Road Dar Es Salaam in 2026 | new BRT System and 1000+ trees
▶︎

The New Face of Bibi Titi Road Dar Es Salaam in 2026 | new BRT System and 1000+ trees