WATANZANIA WATARAJIE KASI ZAIDI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA: MKURUGENZI MKUU TAKUKURU

Katika kipindi hiki Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bw. Crispin Chalamila anatoa salamu za mwaka mpya ikiwa ni pamoja na kuangalia kazi zilizofanywa na TAKUKURU na mafanikio yaliyopatikana kwa mwaka 2024 na kuangazia mwelekeo wa mapambano dhidi ya rushwa kwa mwaka 2025.