VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI ARUSHA, VYATAJWA KUWA MUHIMU UTEKELEZAJI WA DIRA 2050

Katibu Tawala Msaidizi (Mipango) Mkoa wa Arusha, Apolinary Seiya amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inatambua na kuthamini mchango wa vyama vya Ushirika, akibainisha kwamba Ushirika ni nguzo muhimu ya maendeleo ya uchumi katika kutekeleza Dira ya maendeleo ya Taifa ya Taifa ya mwaka 2050. Seiya amebainisha hayo leo Alhamisi 11, 2026 Wilayani Karatu, alipomuwakilisha Katibu Tawala Mkoa wa Arusha kwenye Ufunguzi wa Jukwaa la 10 la Maendeleo ya Ushirika Mkoa wa Arusha, akisema kuwa Serikali imeendelea kuimarisha mifumo ya usimamizi na ufuatiliaji chini ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika kwa lengo la kuhakikisha vyama vinatoa huduma bora na kuendeshwa kwa uwazi na ufanisi. "Tuna siku chache kabla ya kuanza utekelezaji wa Dira 2050, Dira yetu ina nguzo kuu tatu na ninyi Ushirika mnachangia kwenye nguzo ya kwanza inayosema kujenga uchumi imara, shirikishi na shindani. Ushirika mnayo nafasi ya kuhakikisha mnakuza ushiriki wa wananchi katika shughuli za kiuchumi, kuwezesha wakulima, wafugaji, wavuvi na wajasiriamali kupata masoko, mitaji na huduma za kifedha pamoja na kupunguza umaskini na kuimarisha ukuaji wa uchumi." Amebainisha Bw. Seiya Kwa upande wake Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Arusha pamoja na Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa Arusha Bi. Zawadi Ngailo wameonya kuhusu vitendo vya ubadhirifu, matumizi mabaya ya mali za wanachama pamoja na ukiukwaji wa sheria za Vyama vya Ushirika, TAKUKURU ikisisitiza kuwa sekta ya Ushirika ni muhimu katika mapambano dhidi ya rushwa, akisisitiza uadilifu na weledi katika uendeshaji wa Ushirika katika Mkoa wa Arusha. Akizungumza pembezoni mwa Jukwaa hilo, Bi. Nimwandaeli Kisaka, mwanachama wa Arusha Teachers Saccos, ametoa rai kwa wanawake Mkoa wa Arusha, waajiriwa na wananchi wote kaa ujumla kujiunga na vikundi vya kuweka na kukopa kutokana na unafuu wake mkubwa wa riba na masharti mengineyo, akisema Vikundi hivyo vya kuweka na kukopa vimeepusha wananchi wengi na mikopo yenye riba kubwa, maarufu kama Mikopo umiza.

SERIKALI YAIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI ARUSHA
β–ΆοΈŽ

SERIKALI YAIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI ARUSHA

πŸ”΄ Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO
β–ΆοΈŽ

πŸ”΄ Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA WILAYA YA CHAMWINO MKOANI DODOMA
β–ΆοΈŽ

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA WILAYA YA CHAMWINO MKOANI DODOMA

The Transformation Changing Ethiopia's Agriculture | Dr. Mandefro Nigussie,
β–ΆοΈŽ

The Transformation Changing Ethiopia's Agriculture | Dr. Mandefro Nigussie,

YALIYOJIRI DODOMA  MEI 11 - 16, 2026
β–ΆοΈŽ

YALIYOJIRI DODOMA MEI 11 - 16, 2026

MERU DC YATOA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU.
β–ΆοΈŽ

MERU DC YATOA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU.

COSP19 CRPD
β–ΆοΈŽ

COSP19 CRPD

VIONGOZI WA TAASISI ZA UMMA KATAVI WAKUMBUSHWA WAJIBU WA KULINDA MALI ZA SERIKALI.
β–ΆοΈŽ

VIONGOZI WA TAASISI ZA UMMA KATAVI WAKUMBUSHWA WAJIBU WA KULINDA MALI ZA SERIKALI.

TAKUKURU ARUSHA YASISITIZA UADILIFU KWA VYAMA VYA USHIRIKA MKOA WA ARUSHA
β–ΆοΈŽ

TAKUKURU ARUSHA YASISITIZA UADILIFU KWA VYAMA VYA USHIRIKA MKOA WA ARUSHA

MAADHIMISHO YA JUKWAA LA MAENDELEO YA USHIRIKA MKOA WA DODOMA | 2026
β–ΆοΈŽ

MAADHIMISHO YA JUKWAA LA MAENDELEO YA USHIRIKA MKOA WA DODOMA | 2026

MAMBO MUHIMU YA YANAYOZINGATIWA KATIKA MCHAKATO WA AJIRA
β–ΆοΈŽ

MAMBO MUHIMU YA YANAYOZINGATIWA KATIKA MCHAKATO WA AJIRA

LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 180 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU
β–ΆοΈŽ

LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 180 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

πŸ…»πŸ…ΈπŸ†…πŸ…΄ CHADEMA DODOMA WANATANGAZA MAAMUZI YA KUMUUNGA MKONO LISSU, WAMKATAA MBOWE
β–ΆοΈŽ

πŸ…»πŸ…ΈπŸ†…πŸ…΄ CHADEMA DODOMA WANATANGAZA MAAMUZI YA KUMUUNGA MKONO LISSU, WAMKATAA MBOWE

22 June 2026
β–ΆοΈŽ

22 June 2026

Tazama Ufunguzi wa Mafunzo ya Uongozi wa Kimkakati yanayoendelea kutolewa na ADEM mkoani Shinyanga.
β–ΆοΈŽ

Tazama Ufunguzi wa Mafunzo ya Uongozi wa Kimkakati yanayoendelea kutolewa na ADEM mkoani Shinyanga.

KITENGO CHA UFUATILIAJI NA TATHMINI MKOA WA ARUSHA WAANZA KUANDAA NYARAKA MUHIMU ZA 2026/27
β–ΆοΈŽ

KITENGO CHA UFUATILIAJI NA TATHMINI MKOA WA ARUSHA WAANZA KUANDAA NYARAKA MUHIMU ZA 2026/27

Ikiganiro: Ni gute twabungabunga uburenganzira bw'umwana mu muryango iwacu?
β–ΆοΈŽ

Ikiganiro: Ni gute twabungabunga uburenganzira bw'umwana mu muryango iwacu?

RAS ARUSHA ATEMBELEA NA KUKAGUA HOSPITALI YA WILAYA NGORONGOROπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
β–ΆοΈŽ

RAS ARUSHA ATEMBELEA NA KUKAGUA HOSPITALI YA WILAYA NGORONGOROπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food
β–ΆοΈŽ

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

π–π€π‡πˆπ“πˆπŒπ” 𝐖𝐀𝐀𝐒𝐖𝐀 πŠπ”π•π”π€ πŒπˆπ–π€ππˆ ππ˜π„π”π’πˆ
β–ΆοΈŽ

π–π€π‡πˆπ“πˆπŒπ” 𝐖𝐀𝐀𝐒𝐖𝐀 πŠπ”π•π”π€ πŒπˆπ–π€ππˆ ππ˜π„π”π’πˆ