Mti wa Asili Unaosaidia Tatizo la Nguvu za Kiume na Kukohoa

#tanzaniakijani Mti wa Mhale, ni mti ambao unafanya vizuri kwenye maeneo yenye ukame.Kwa mujibu wa mtunza bustani niliyezungumza nae anasema kuwa mti huo una kemikali za mimea yaani ‘phytochemicals’ ambazo zinaweza kusaidia kutibu tatizo la nguvu za kiume, kisononi, na kifua. Vilevile Mti huu unakua haraka sana na umeonyesha kupunguza tatizo la kuni kwenye maeneo ya nyanda kame mfano Shinyanga. #tanzaniakijani #shinyanga #upandajimitiyasili #mitiyasili #uhifadhi #kupunguzaatharizamabadilikoyatabianchi #maendeleoendelevu #conservation #indegenoustrees #tanzania #treeplanting #conservation _______________________________________ Camera: Adrian Mlau Drone: Ahmed Mbaraka Producer: Anna Peter _______________________________________ Usikose Kufatilia kipindi hiki kinachohusu Uhifadhi, TANZANIA KIJANI kila JUMAMOSI saa 12:30 jioni na JUMATATU saa 3:00asubuhi, TBC1.