Vanila Inavyochangia Upandaji Miti na Uhifadhi wa Mlima Kilimanjaro

Tanzania Kijani: Kampuni ya NEI iliyopo mkoani Kilimanjaro, inahamasisha upandaji wa Vanila na kununua Vanila kutoka kwa wakulima. Kampuni hiyo pia inawafundisha wakulima namna ya kufanya Kilimo Misitu kwa kupanda mazao ya mengine ya biashara, wakati mkulima akisubiri kuvuna Vanila. Kwa kufanya hivyo Mmea wa Vanila unachangia Upandaji Miti nakupunguza ukataji Miti au uharibifu wa Misitu ‘deforestation’ mkoani humo. Pia Mtaalam wa Kilimo ameeleza namna upandaji wa Vanila Kilimanjaro unavyosaidia Uhifadhi wa Mlima Kilimanjaro na Mazingira. ____________________________________ Cameraperson: Justin Msechu Drone: Ahmed Mbaraka Writer and Producer: Anna Peter ________________________ Fatilia kipindi hiki kila JUMAMOSI saa 12:30jioni na JUMATATU saa 3:00 asubuhi TBC1. ____________________ #tanzaniakijani #mimea #vanila #uhifadhi #kilimomisitu #maendeleoendelevu #kilimanjaro #agroforest #plants #conservation #sustainabledevelopment