Vanila Inavyochangia Upandaji Miti na Uhifadhi wa Mlima Kilimanjaro
Tanzania Kijani: Kampuni ya NEI iliyopo mkoani Kilimanjaro, inahamasisha upandaji wa Vanila na kununua Vanila kutoka kwa wakulima. Kampuni hiyo pia inawafundisha wakulima namna ya kufanya Kilimo Misitu kwa kupanda mazao ya mengine ya biashara, wakati mkulima akisubiri kuvuna Vanila. Kwa kufanya hivyo Mmea wa Vanila unachangia Upandaji Miti nakupunguza ukataji Miti au uharibifu wa Misitu ‘deforestation’ mkoani humo. Pia Mtaalam wa Kilimo ameeleza namna upandaji wa Vanila Kilimanjaro unavyosaidia Uhifadhi wa Mlima Kilimanjaro na Mazingira. ____________________________________ Cameraperson: Justin Msechu Drone: Ahmed Mbaraka Writer and Producer: Anna Peter ________________________ Fatilia kipindi hiki kila JUMAMOSI saa 12:30jioni na JUMATATU saa 3:00 asubuhi TBC1. ____________________ #tanzaniakijani #mimea #vanila #uhifadhi #kilimomisitu #maendeleoendelevu #kilimanjaro #agroforest #plants #conservation #sustainabledevelopment

Wasukuma na Ngitili: Mfumo wa Uhifadhi Unaowatajirisha

Utajiri wa Vanila |KILIMANJARO

Hii ndio safari ya kupanda mlima Kilimanjaro inavyoanza mpaka inavyomalizika

VIDEO: BABU YAKE SABAYA WA KWANZA KUPANDISHA MZUNGU MLIMA KILIMANJARO, APEWA TUZO HII

CLIMBING MOUNT KILIMANJARO

ANAPATA KARIBIA MILIONI 60 KUTOKANA NA UFUGAJI NYUKI WADOGO

KIHAMBA| Thamani ya Mchaga

Matumizi ya Vanila Iliyochakatwa

Mount Kilimanjaro // The Roof of Africa

Tazama Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Waitara anavyopanda Mlima Kilimanjaro | Tukutane kileleni

Mwandishi wa TBC afariki dunia akishuka Mlima Kilimanjaro

Maajabu ya Chanzo cha Mto wa Pili kwa Ukubwa Tanzania: Mto Malagarasi

Kutana na Kamanda Masawe aliyepandisha Mwenge wa Uhuru Mlima Kilimanjaro.

Climbing Kilimanjaro Was Insane This Year

MTI WA BARAKA: ENEO MUHIMU LA KABILA LA WAMERU MKOANI ARUSHA

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

Kilimanjaro - Take on one of the seven summits with Nimsdai & Elite Exped.

VIDEO:SAFARI IMEANZA KUUPANDA MLIMA KILIMANJARO, "KUFUNGA INTERNET YENYE KASI ZAIDI"

Waziri Lukuvi akiongea na mkazi wa Kenya Lukas Metwui anayeishi mpakani, Rombo - Kilimanjaro

