MTI WA AMANI: ENEO LA MAPATANO

Tanzania Kijani Mringaringani ni eneo linaloheshimiwa na jamii ya watu wa Meru mkoani Arusha. Kiongozi wa Kimila kutoka ukoo wa Maturo na Afisa Utalii amesimulia kuhusu mti wa Mringaringa ambao ni kwao unatumika kwaajili ya kusuluhisha migogoro ____________________________________ Cameraperson: Fabian Shirima Drone: Fabian Shirima Writer and Producer: Anna Peter