MTI WA BARAKA: ENEO MUHIMU LA KABILA LA WAMERU MKOANI ARUSHA

MTI WA BARAKA: ENEO LINALOHESHIMIWA NA KABILA LA WAMERU Tanzania Kijani Mringaringani ni eneo linaloheshimiwa na jamii ya watu wa Meru mkoani Arusha. Kiongozi wa Kimila kutoka ukoo wa Maturo na Afisa Utalii amesimulia kuhusu mti wa Mringa ambao ni kwao unaaminika ni mti wa Baraka. ____________________________________ Cameraperson: Fabian Shirima Drone: Fabian Shirima Writer and Producer: Anna Peter