HISTORIA YAANDIKWA JIJI LA DAR/WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII WAPATIWA VITENDEA KAZI VYA MIL. 19
Mstahiki Meya wa halmashauri ya jiji la Dar es salaam Mhe. Omary Kumbilamoto leo Aprili 20, 2024 amekabidhi vitendea kazi kwa wahudumu wa afya 200 wa ngazi ya jamii vyenye thamani ya shilingi milioni 19,000,000/=. Akizungumza wakati wa kukabidhi Meya Kumbilamoto amesema vitendea kazi hivyo vinaenda kuimairisha utendaji kazi wa wahudumu hao ambao wanaisaidia serikali na jamii kwa kutoa huduma za afya kwa ngazi ya jamii ikizingatiwa walikua wanafanya kazi kwenye mazira ambayo sio rafiki hususani kwenye mitaa na kata. "Tunamshukuru Rais Samia kwanza kwa kuanza kuwalipa posho japo mlianza kwa kujitolea, pili sisi kama jiji tumeona tuwaunge mkono kutokana na kazi kubwa mnayofanya na jambo hili linaenda kuweka historia, hakuna halmashauri yoyote nchini iliyofanya hivi hivyo sisi tutakuwa alama ya kwanza kuwathamini ninyi wahudumu wa ngazi ya jamii" amesema Meya Kumbilamoto Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Jiji hilo Dkt. Zaitun Hamza amesema wahudumu wote wa ngazi ya jamii kwenye halmashauri hiyo kila mmoja atapatiwa koti la Mvua, kipaza Sauti, gumboot pamoja na kofia kwa ajili ya kuwarahisishia kazi pindi wanapotekeleza majukumu yao kwenye mitaa na kata. "Tunasema hakuna kufanya kazi kinyonge Mhe. Rais ametuheshimisha CHW mnakumbuka miezi iliyopita alisema ataenda kuhakikisha wahudumu wa afya ngazi ya jamii wanaenda kuwa na amana, furaha kwa kwenda rasmi kuajiliwa na Tanzania inakua ya mfano na hii sisi kwetu ni faraja kubwa sana" ameongeza Dkt. Zaitun Naye Mwenyekiti wa kamati ya Huduma za Jamii kwenye jiji hilo Mhe. Saad Khimji amesema kutokana na ubora wa kazi mnazozifanya kwenye mitaa na kata zetu mnastahihili kupata vitendea kazi hivi na mtaendelea kupata vingi zaidi ya hivi kwani mnanusuru mambo mengi kwenye mitaa.

WATOA HUDUMA NGAZI ya JAMII KUPIGWA MSASA wa MASOMO kwa MIEZI SITA.....

HII HAPA TAARIFA KUHUSU MALIPO YA WAFANYAKAXI WA AFYA NGAZI YA JAMII CHW

HUDUMA ZA AFYA KUBISHA HODI KILA MTAA

JAMII KUCHAGUA WAHUDUMU WAO WA AFYA NGAZI YA JAMII PWANI

Romain Molina akize federasyon ayisyen an. Men kisa l revele

Dkt Ntuli A. Kapologwe, Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii

MAMBO MAKUU MANNE KATIKA UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

Nobody Breaks Celebrities Like Rowan Atkinson

Why Africa, Why Now: Investing in the World's Next Growth Engine | Global Conference 2026

WAZIRI WA AFYA AWAONYA MATAPELI WATAKAOTAKA KUHARIBU MPANGO WA USALAMA WA AFYA KWA WANANCHI

NEW AIRPORT INSIDE THE NYERERE NATIONAL PARK

Ethiopia is About to Explode.

Why is Sweden making it harder to gain citizenship? - World Questions podcast, BBC World Service

Rais Mwinyi kuwaonga mkono wahudumu wa afya ngazi ya jamii

Waziri Ummy Mwalimu azindua mpango wa huduma ya Afya Ngazi ya Jamii | Dar24 Media

KIKAO CHA WIZARA YA AFYA NA WAGANGA WAKUU WA MIKOA

SERIKALI YATOA VITENDEA KAZI KWA WATOA HUDUMA WA AFYA NGAZI YA JAMII

🔴#liveTAZAMA!Bugando yatoa mafunzo kwa wahudumu wa afya ngazi ya jamii Mdomo sungura unarekebishika

