MAMBO MAKUU MANNE KATIKA UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII
MAMBO MAKUU MANNE KATIKA UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII. Na. Elimu ya Afya kwa Umma. Mratibu wa Huduma za Afya Ngazi ya Jamii kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. May Alexander ametaja mambo makuu manne ambayo Serikali imekusudia katika Utekelezaji wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii ni pamoja na kurasimisha kwa kutoa mafunzo pamoja na kuleta uwiano. Dkt. May amebainisha hayo Jijini Arusha wakati akifunga Kikao cha Ushirikiano na Wadau wanaotekeleza Afua mbalimbali za Afya , Lishe na Ustawi wa Jamii kinachoratibiwa na Wizara ya Afya, kwa Kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI pamoja na wadau ikiwemo PACT Tanzania kupitia Mradi wa ACHIEVE ambapo ametaja mambo mengine ni kuongeza wigo wa utoaji Huduma za Afya Ngazi ya Jamii na jambo la nne ni kusogeza huduma karibu zaidi. “Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imepiga hatua kubwa katika kusogeza huduma za afya karibu na mwananchi hivyo kupitia Mpango huu Jumuishi tunakwenda kusogeza zaidi huduma karibu na mwananchi amabapo kutakuwa na Wahudumu wawiliwawili kila Kitongoji au Mtaa”amesema. Pata elimu kuhusu masuala yote ya afya kupitia Channel hii. Mafunzo yote yanatolewa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia Idara ya Kinga, Kitengo Cha Elimu ya Afya kwa Umma kwa kushirikiana na wadau mbali mbali

WAZIRI WA AFYA AWAONYA MATAPELI WATAKAOTAKA KUHARIBU MPANGO WA USALAMA WA AFYA KWA WANANCHI

SERIKALI YATANGAZA AJIRA 137,294 KWA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII, COMMUNITY HEATLTH WORKERS

WAHUDUMU WA AFYA WAPEWA ELIMU KUHUSU UGONJWA WA MPOX, WAFUNGUKA NAMNA WATAKAVYO ISAIDIA JAMII

SERIKALI YATOA VITENDEA KAZI KWA WATOA HUDUMA WA AFYA NGAZI YA JAMII

NYUMBA ZA KUPANGA PART 3 - BAMBO x WAKIZAZI KIPYA

TUNAENDELEA NA UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI WA CHW

WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII WALIA NA POSHO ZAO MBELE YA DKT MWINYI BILA KUPEPESA MACHO.

INKOTANYI CYANE:MARIYA YOHANA YIBUKIJE ABANTU AMATEKA Y'INKOTANYI KU RUGAMBA AMARIRA ABUNGA MU MASO.

IKI GITONDO LE 28|6 M23 IFASHE MPIRI ABARUNDI 80, AMERIKA IGIYE GUHANA TSHISEKEDI FDLR IMUKOZEHO

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

ELIMU YA AFYA KWA UMMA: Dalili za Mimba kuharibika

TUMBAKU NI HATARI KWA AFYA YAKO

ELIMU YA AFYA KWA UMMA: Huduma za Afya ya Uzazi baada ya kijifungua

WAHUDUMU WA AFYA 11,515 KUANZA MAFUNZO YA HUDUMA ZA AFYA

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

DR. ROSEMARY SSENIDE HAS CALLED FOR UNITY AMONG NRM SURPORTERS IN KIKUUBE DISTRICT

AFYA CHECK 9- Homa ya mapafu (Pneumonia) Sept Part 1

TAZAMA// DKT. ONA MACHANGU AFUNGUKA KUHUSU CHW's

PDM SACCO LEADERS WARNED AGAINST EXTORTING MONEY FOR BENEFICIARIES

