SERIKALI YATARAJIA KUWA NA WATOA HUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII ZAIDI YA 30,000

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inatarajia kuwa na watoa huduma wa Afya ngazi ya jamii (CHWz) Zaidi ya 30,000 ifikapo mwaka 2020 katika vijiji Zaidi ya 15,000 nchini. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu katika Mkutano wa Wadau wa Afya, mashirika yasiyo Yakiserikali, na Serikali katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam. “Tunataka itakapofika mwaka 2020, tuwe na angalau Wahudumu wa Afya zaidi ya 30,000 katika vijiji Zaidi ya 15,000 tulivyonavyo Tanzania, Eneo hili tumeliona ni eneo muhimu kwasababu tutapata matokeo ya haraka, ni bora kutumia Bilioni 40 kwa ajili ya kinga ya magonjwa kwa Watanzania .” Alisema Mhe. Ummy Mwalimu. Mhe. Ummy alisema kuwa lengo la Mkutano huo ni kujadiliana na Wadau wa Maendeleo na Mashirika yasiyo Yakiserikali juu ya kuimarisha huduma ya Afya ya msingi hasa katika kuwakinga wananchi dhidi ya maradhi kupitia mikakati ambayo inakubalika kimataifa ya kuwa na watoa huduma katika ngazi ya jamii.

#LIVE:UZINDUZI WA BODI YA WADHAMINI YA JKCI, MAABARA YA KISASA, JENGO LA UTAWALA
▶︎

#LIVE:UZINDUZI WA BODI YA WADHAMINI YA JKCI, MAABARA YA KISASA, JENGO LA UTAWALA

#LIVE: MKUTANO WA WAZIRI WA AFYA, MHE.MOHAMED MCHENGERWA, NA WADAU WA DAWA NA VIFAA TIBA
▶︎

#LIVE: MKUTANO WA WAZIRI WA AFYA, MHE.MOHAMED MCHENGERWA, NA WADAU WA DAWA NA VIFAA TIBA

SHAJARA || Mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii na ufanisi wake
▶︎

SHAJARA || Mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii na ufanisi wake

HUDUMA ZA AFYA KUBISHA HODI KILA MTAA
▶︎

HUDUMA ZA AFYA KUBISHA HODI KILA MTAA

HISTORIA YAANDIKWA JIJI LA DAR/WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII WAPATIWA VITENDEA KAZI VYA MIL. 19
▶︎

HISTORIA YAANDIKWA JIJI LA DAR/WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII WAPATIWA VITENDEA KAZI VYA MIL. 19

#LIVE: HAFLA YA UZINDUZI WA MFUMO WA KIDIJITALI WA ONGEA NA WAZIRI WA AFYA
▶︎

#LIVE: HAFLA YA UZINDUZI WA MFUMO WA KIDIJITALI WA ONGEA NA WAZIRI WA AFYA

WAZIRI WA AFYA AWAONYA MATAPELI WATAKAOTAKA KUHARIBU MPANGO WA USALAMA WA AFYA KWA WANANCHI
▶︎

WAZIRI WA AFYA AWAONYA MATAPELI WATAKAOTAKA KUHARIBU MPANGO WA USALAMA WA AFYA KWA WANANCHI

SERIKALI YATANGAZA AJIRA 137,294 KWA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII, COMMUNITY HEATLTH WORKERS
▶︎

SERIKALI YATANGAZA AJIRA 137,294 KWA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII, COMMUNITY HEATLTH WORKERS

WIZARA YA AFYA YAWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
▶︎

WIZARA YA AFYA YAWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

#LIVE: MKUTANO WA WAZIRI WA AFYA, MHE.MOHAMED MCHENGERWA, MADAKTARI BINGWA NA WADAU WA SEKTA YA AFYA
▶︎

#LIVE: MKUTANO WA WAZIRI WA AFYA, MHE.MOHAMED MCHENGERWA, MADAKTARI BINGWA NA WADAU WA SEKTA YA AFYA

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA
▶︎

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

IFAHAMU TOSAMAGANGA MPYA_ 2024....tosamaganga documentary_Official_ video
▶︎

IFAHAMU TOSAMAGANGA MPYA_ 2024....tosamaganga documentary_Official_ video

Live: Hafla ya uzinduzi wa mfumo wakidigitali wa ongea na Waziri wa Afya
▶︎

Live: Hafla ya uzinduzi wa mfumo wakidigitali wa ongea na Waziri wa Afya

Uzinduzi wa mfumo wakidigitali wa ongea na Waziri wa Afya
▶︎

Uzinduzi wa mfumo wakidigitali wa ongea na Waziri wa Afya

MFANYABIASHARA EDA ASIMWE, ALIANGUKA MARA 7 NA KUPATA HASARA KISHA AKAJIPATA NA KUSIMAMA MARA YA 8
▶︎

MFANYABIASHARA EDA ASIMWE, ALIANGUKA MARA 7 NA KUPATA HASARA KISHA AKAJIPATA NA KUSIMAMA MARA YA 8

LIVE WAZIRI WA AFYA MH. MOHAMED MCHENGERWA ANAWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2026/2027 BUNGENI
▶︎

LIVE WAZIRI WA AFYA MH. MOHAMED MCHENGERWA ANAWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2026/2027 BUNGENI

HOSPITALI YA MT. MERU YAPONGEZWA KWA UFUATILIAJI WA WAGONJWA NA USAFI WA MZAINGIRA
▶︎

HOSPITALI YA MT. MERU YAPONGEZWA KWA UFUATILIAJI WA WAGONJWA NA USAFI WA MZAINGIRA

🔴MPYA: AJIRA ZA JESHI LA POLISI 2024 SIKU ZA KUTUMA MAOMBI ZAONGEZEKA|AJIRA JESHI LA POLISI 2024/25.
▶︎

🔴MPYA: AJIRA ZA JESHI LA POLISI 2024 SIKU ZA KUTUMA MAOMBI ZAONGEZEKA|AJIRA JESHI LA POLISI 2024/25.

SERIKALI YAJA NA MKAKATI WA KUONGEZA WAHUDUMU WA AFYA NJE YA BAJETI YA SERIKALI
▶︎

SERIKALI YAJA NA MKAKATI WA KUONGEZA WAHUDUMU WA AFYA NJE YA BAJETI YA SERIKALI

Day6_SEMINA YA PASAKA ARUSHA NA MCH.KATEKELA•SOMO"NGUVU YA AGANO" •EAGT HOUSE OF PRAYER SOMBETINI
▶︎

Day6_SEMINA YA PASAKA ARUSHA NA MCH.KATEKELA•SOMO"NGUVU YA AGANO" •EAGT HOUSE OF PRAYER SOMBETINI