HUDUMA ZA AFYA KUBISHA HODI KILA MTAA

DAR ES SALAAM: WIZARA ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetangaza mpango wa kutoa mafunzo kwa wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii ili kutekeleza afua Jumuishi za Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii. Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amesema wahudumu 11,515 wanatarajiwa kuanza utekelezaji wa afya ngazi ya jamii katika Mikoa 11 Mhagama ameongeza kuwa wahudumu hao watafanya mafunzo kwa muda wa miezi sita ambapo wataanza mafunzo hayo Septemba 30,2024. Wahudumu hao wanatarajiwa kutoa huduma katika mikoa ya Geita, Pwani, Tanga, Songwe,Mbeya, Lindi,Tabora, Kagera, Njombe,Ruvuma na Kigoma. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo:   / spotileo-176.  . HabariLeo:   / habarileo   DailyNews:   / dailynewstz   INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

MWONGOZO MPYA WA WATOA HUDUMA NGAZI YA JAMII
▶︎

MWONGOZO MPYA WA WATOA HUDUMA NGAZI YA JAMII

#LIVE UZINDUZI WA MPANGO JUMUISHI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII
▶︎

#LIVE UZINDUZI WA MPANGO JUMUISHI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII

Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA  afya ikusaidie UZEENI  siyo FEDHA''
▶︎

Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''

WAZIRI WA AFYA AWAONYA MATAPELI WATAKAOTAKA KUHARIBU MPANGO WA USALAMA WA AFYA KWA WANANCHI
▶︎

WAZIRI WA AFYA AWAONYA MATAPELI WATAKAOTAKA KUHARIBU MPANGO WA USALAMA WA AFYA KWA WANANCHI

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

JAMII KUCHAGUA WAHUDUMU WAO WA AFYA NGAZI YA JAMII PWANI
▶︎

JAMII KUCHAGUA WAHUDUMU WAO WA AFYA NGAZI YA JAMII PWANI

VILIO VYATAWALA JENEZA LENYE MWILI WA RPC ABWAO LIKISHUSHWA KABURINI
▶︎

VILIO VYATAWALA JENEZA LENYE MWILI WA RPC ABWAO LIKISHUSHWA KABURINI

WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII NI MUHIMU
▶︎

WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII NI MUHIMU

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura
▶︎

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

AJIRA MPYA 8900 TAMISEMI NA WIZARA YA AFYA|AJIRA MPYA wahudumu Wa afya ngazi ya jamii 2024
▶︎

AJIRA MPYA 8900 TAMISEMI NA WIZARA YA AFYA|AJIRA MPYA wahudumu Wa afya ngazi ya jamii 2024

ÇIM PEKA LIVE/ Albin Kurti flet për sulmet e Ramës ndaj tij (27.06.2022)
▶︎

ÇIM PEKA LIVE/ Albin Kurti flet për sulmet e Ramës ndaj tij (27.06.2022)

RC TABORA AAGIZA KUKAMATWA KWA WATUMISHI 3 NA MMILIKI WA ZAHANATI YA HOSSIANA KWA KULAZA WAGONJWA
▶︎

RC TABORA AAGIZA KUKAMATWA KWA WATUMISHI 3 NA MMILIKI WA ZAHANATI YA HOSSIANA KWA KULAZA WAGONJWA

Jashari: Prishja me Hashim Thacin nuk ka qene per para
▶︎

Jashari: Prishja me Hashim Thacin nuk ka qene per para

17 Sano Jir  Anoo Ah Ayaan Suufi Noqday Kuwa Qadiriyada | Sheikh Umal
▶︎

17 Sano Jir Anoo Ah Ayaan Suufi Noqday Kuwa Qadiriyada | Sheikh Umal

MATUKIO YOTE | HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA MWAKA 1961
▶︎

MATUKIO YOTE | HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA MWAKA 1961

Ruto speech today in Meru after Crowd Blocked him outside Church
▶︎

Ruto speech today in Meru after Crowd Blocked him outside Church

WAKILI AELEZA HATMA YA MBOWE NA WENZAKE BAADA YA KUKAMATWA
▶︎

WAKILI AELEZA HATMA YA MBOWE NA WENZAKE BAADA YA KUKAMATWA

Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii, Jeshi lililo stari wa Mbele kuhakikihs Afya ya Jamii inaimarika
▶︎

Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii, Jeshi lililo stari wa Mbele kuhakikihs Afya ya Jamii inaimarika

Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass
▶︎

Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass

Why Ruto will WIN: Raila Death Killed Opposition.
▶︎

Why Ruto will WIN: Raila Death Killed Opposition.