BASHUNGWA AMUONDOA MENEJA WA TANROADS MKOA WA LINDI, MTAALAM WA FALSAFA AKUTWA 'SITE' AKISIMAMIA..
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Meneja wa TANROADS Mkoa wa Lindi, Eng. Andrea Kasamwa kwa kushindwa kusimamia urejeshwaji wa miundombinu ya barabara na madaraja katika Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi na kupelekea barabara kuu zinanounganisha wilaya hiyo na maeneo mengine kufungwa. Waziri Bashungwa akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Deo Ndejembi ameshuhudia urejeshwaji wa barabara ya Liwale - Nangurukuru iliyosombwa na maji ikisimamiwa na Mtaalam mwenye taaluma ya Falsafa kwa kusaidiwa na Wananchi wakati Mkandarasi akiwa hayupo eneo la Kazi. Bashungwa amechukua hatua hiyo leo tarehe 06 Machi 2024 wakati akikagua mindombinu ya barabara katika Wilaya ya Liwale na kutoridhishwa na usimamizi wa kazi inayofanywa na Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoa wa Lindi.

MIUNDOMBINU YA BARABARA, MADARAJA LAZIMA IREJEE..!! BASHUNGWA AAGIZA WATAALAM KUELEKEA LINDI..

BASHUNGWA HAKUNA KULALA APIGA KAMBI LINDI, BARABARA YA LIWALE - NANGURUKURU YAANZA KUPITIKA

Nilihukumiwa Kunyongwa Mpaka Kufa Sasa Nipo Huru, Nimepata Mume - Rose FULL INVERVIEW 🔥 🔥

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

VIDEO ILIYO-TREND WATANGANYIKA KUFUKUZWA MAHOTELINI ZNZ, KIONGOZI MUHUSIKA AKEMEA UBAGUZI

MKOA WA LINDI ( DRONE Shots by director black fish)

BARABARA YA LIWALE TO NANGURUKURU YAFUNGUKA NDANI YA SAA 24

WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

HIZI HAPA DAKIKA 7 ZA WAZIRI BASHUNGWA NA WANALIWALE

"TUMETOKA DODOMA- RAIS KATOA HELIKOPTA-MKANDARASI YUPO DAR" -WAZIRI BASHUNGWA AMTUMBUA BOSI TANROADS

TAZAMA BASHUNGWA ALIVYOWABANA WAKANDARASI WANAOJENGA BARABARA YA MZUNGUKO DODOMA, 'IKAMILIKE 2025'

"LITAFTENI GARI LAKE MLILETE" WAZIRI MKUU AWAKA Gari la Mwananchi Kukamatwa na TRA Dodoma

#Mwanamke_Fundi Ujenzi Msomi toka #Nachingwea aweke Historia Ujenzi wa Shule Chiumbati #Nachingwea

BASHUNGWA AITAKA TANROADS KUONGEZA NGUVU UJENZI WA MADARAJA, MKANDARASI HUYU ATAJWA..

WAZIRI BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI, BARABARA YA LIWALE NANGURUKURU YAANZA KUPITIKA

WAZIRI BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI - KUHAKIKISHA BARABARA ya DAR - LINDI INAPITIKA NDANI ya SAA 72..

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

Tanzania’s Mega Project Transformations A New Giant Rising

Mwonekano wa Mwenge Flyover, Dar es Salam

