WAZIRI BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI - KUHAKIKISHA BARABARA ya DAR - LINDI INAPITIKA NDANI ya SAA 72..
WAZIRI BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI - KUHAKIKISHA BARABARA ya DAR - LINDI INAPITIKA NDANI ya SAA 72.. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu na kuwahakikishia wananchi, wasafiri na wasafirishaji kuwa ameweka kambi Mkoa wa Lindi kuhakikisha anasimamia timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na makandarasi, kuhakikisha wanakamilisha kazi ya kurejesha mawasiliano ya barabara ya Lindi – Dar es Salaam ndani ya saa 72. Waziri Bashungwa ameeleza hayo, leo tarehe 6 Mei 2024 Nangurukuru wilayani Kilwa wakati akikagua na kusimamia zoezi la urejeshaji wa mawasiliano ya barabara yaliyokatika kwa kuharibiwa na mvua kubwa zilizonyesha zikiambatana na kimbunga Hidaya. Jishindie Zawadi na Global TV Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV 👉🔥👉https://forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7 ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

RC WA "FYEKELEA MBALI: "NYOOSHA MKONO JIFANYE UNAJIKUNA"

WAZIRI BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI, BARABARA YA LIWALE NANGURUKURU YAANZA KUPITIKA

BODA BODA AGONGA TRENI - MUENDESHA PIKIPIKI ZINGATIA USALAMA UNAPOVUKA KATIKA KIVUKO CHA RELI

UJENZI WA MRADI WA DARAJA LA RUAHA MKUU KILOMBERO, MKOANI MOROGORO

RAIS DKT. SAMIA AKIMUAGA RAIS WA JAMHURI YA FINLAND MHE. ALEXANDER STUBB

HECHE AMEKIWASHA UPYA AFICHUA KESI YAO AMJIBU KENANI BILA UOGA, HATUWEKWI MFUKONI SISI

WAZIRI AWESO AMTUMBUA MENEJA wa MAJI MWANZA HADHARANI - ''WATANYOOKA TU - WANAVYOTAKA TUTAKWENDA''

Mawaziri watatu walioidhinishwa na bunge la kitaifa waapishwa katika ikulu ya Nairobi

🔴 #ZBCLIVE:- TAARIFA A HABARI - ALHAMIS - 11/06/2026

UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR

NHIF YAFAFANUA UTARATIBU WA BIMA YA AFYA KWA WOTE, NAMNA INAVYOWAFUATA WATU

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

VIDEO ILIYO-TREND WATANGANYIKA KUFUKUZWA MAHOTELINI ZNZ, KIONGOZI MUHUSIKA AKEMEA UBAGUZI

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

Rais Barack Obama apata mapokezi ya kishindo jijini Dar es Salaam.

MAJI YA FURIKA TUNDURU DARAJA YA MTO MUHUWESI HAIPITIKI!!!!!!

MBUNGE NCHIMBI AKOMALIA PESA za SERIKALI KUTOTUMIKA HOVYO KWENYE VIKAO VIISIVYO VYA LAZIMA...

🇧🇫36 Massive Projects Transforming Burkina Faso

MUUZA MADAFU IKULU NI KOMANDO ALIYETUA NA HELIKOPTA? KATUONESHA ANAPOISHI “UKIJA VIBAYA NAKUKALISHA"

