WAZIRI BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI, BARABARA YA LIWALE NANGURUKURU YAANZA KUPITIKA
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameipongeza timu ya Wataalam kutoka Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), kwa kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha wanarejesha mawasiliano ya barabara ya Liwale - Nangurukuru ambayo imeanza kupitika. Waziri Bashungwa ameeleza hayo leo Machi 08, 2024 mkoani Lindi wakati akikagua urejeshwaji wa miundombinu ya barabara na madaraja kutokana na mvua kubwa iliyonyesha na kusababisha barabara kuu na madaraja yanayounganisha wilaya ya Liwale na maeneo mengine kufungwa.

▶︎
"HAKUNA KUPEWA MRADI MWINGINE..!", BASHUNGWA AWAONDOA WATAALAMU WOTE WA BARABARA YA KIBAONI - MLELE

▶︎
MAWASILIANO YA BARABARA DAR - LINDI KUREJEA KESHO, SOMANGA PANAPITIKA | WAZIRI BASHUNGWA.

▶︎
REJESHENI MIUNDOMBINU LINDU - BASHUNGWA

▶︎
KIJANA WA MIAKA 32 ANAYEMILIKI MALORI 7 YA FAW, ALIKOPA KWA KUTUMIA NYUMBA AKAMFICHA MKEWE

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

▶︎
BARABARA YA LIWALE TO NANGURUKURU YAFUNGUKA NDANI YA SAA 24

▶︎
MABILIONI KUKARABATI MADARAJA| ULEGA AHADHARISHWA NA WAZEMBE

▶︎
WAZIRI ULEGA AWAHAKIKISHIA MIRADI YOTE KUKAMILIKA

▶︎
WAZIRI BASHUNGWA AMUWASHIA MOTO MKANDARASI ALIYEMCHEFUA - "MNALUTEA MAMBO YA HOVYO"

▶︎
DENIS MPAGAZE: Mfahamu Mzee MWINYI /Rais Aliyetawala ZANZIBAR Na Jamhuri Ya Muungano Wa TANZANIA

▶︎
BASHUNGWA ATOA MASAA MATATU KUREJESHWA MAWASILIANO YA BARABARA YA MTWARA - MASASI ILIYOKATIKA

▶︎
MITOMONI BRIDGE CONNECTING SONGEA AND NYASA DISTRICTS COMPLETED

▶︎
USALAMA KWANZA!!! BASHUNGWA ATOA WIKI MOJA TU KWA TEMESA // MENEJA APIGIWA SIMU, "VIFAA VILETWE"

▶︎
Daraja Jipya la Jangwani: Maendeleo ya Ujenzi wa Daraja

▶︎
Beyond a Highway: The Impact of the Kenya-South Sudan Link Road

▶︎
BASHUNGWA AMSIMAMISHA MENEJA WA TANROADS MKOA WA LINDI

▶︎
BARABARA YA MCHEPUO IRINGA KUCHOCHEA UCHUMI : DKT. NCHEMBA

▶︎
SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

▶︎
