"TUMETOKA DODOMA- RAIS KATOA HELIKOPTA-MKANDARASI YUPO DAR" -WAZIRI BASHUNGWA AMTUMBUA BOSI TANROADS
"TUMETOKA DODOMA- RAIS KATOA HELIKOPTA-MKANDARASI YUPO DAR" -WAZIRI BASHUNGWA AMTUMBUA BOSI TANROADS... Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Meneja wa TANROADS Mkoa wa Lindi, Eng. Andrea Kasamwa kwa kushindwa kusimamia urejeshwaji wa miundombinu ya barabara na madaraja katika Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi na kupelekea barabara kuu zinanounganisha wilaya hiyo na maeneo mengine kufungwa. Waziri Bashungwa akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Deo Ndejembi ameshuhudia urejeshwaji wa barabara ya Liwale - Nangurukuru iliyosombwa na maji ikisimamiwa na Mtaalam mwenye taaluma ya Falsafa kwa kusaidiwa na Wananchi wakati Mkandarasi akiwa hayupo eneo la Kazi. Bashungwa amechukua hatua hiyo leo tarehe 06 Machi 2024 wakati akikagua mindombinu ya barabara katika Wilaya ya Liwale na kutoridhishwa na usimamizi wa kazi inayofanywa na Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoa wa Lindi. ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

WAZIRI AWESO Amtumbua MENEJA RUWASA, AKASIRIKA Kukuta MAJI HAYATOKI Kisa ELFU 50 - "TAFUTA KAZI"..

WAZIRI MKUU AMFOKEA MKURUGENZI, MADUDU SUMBAWANGA - ''UNATAKA KUMHARIBIA MKUU WA NCHI? ''...

KAZI IENDELE, Tazama Waziri wa Ulinzi na JKT Alivyotumia Helicopter Kutembelea CHITA JKT

HECHE AMEKIWASHA UPYA AFICHUA KESI YAO AMJIBU KENANI BILA UOGA, HATUWEKWI MFUKONI SISI

BASHUNGWA ACHAFUKWA AMSIMAMISHA KAZI MENEJA WA TANROADS/ MKANDARASI AKIMBIA SITE/ WANAKUSAIDIA?

#TAZAMA| WAZIRI MKUU MAJALIWA AKERWA AMTUMBUA AFISA MIPANGO LIWALE

BARABARA YA LIWALE TO NANGURUKURU YAFUNGUKA NDANI YA SAA 24

BASHUNGWA ATOA MASAA MATATU KUREJESHWA MAWASILIANO YA BARABARA YA MTWARA MASASI ILIYOKATIKA

''NI HENDISAMU ILA HAJAELEWA HOJA YANGU'' - SIGRADA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE - HADI WAZIRI KIKWETE...

Simulizi ya mfanyabiashara aliyesababisha Waziri Mkuu kumsimamisha kazi ofisa wa TRA

Waziri Jafo uso kwa uso na wachimba kokoto Dodoma, ahoji; "Kwa hiyo mmeamua kuliharibu jiji?

LIWALE HALI TETE, DARAJA LAKATIKA, WAZIRI AMPA SIKU SABA KWA ENG. DARAJA LIJENGWA..

MASKINI ASKOFU MONABANI HANA CHAKE! UPANDE wa PILI WAWEKA NYARAKA HADHARANI - WALINUNUA MILIONI 400

WAZIRI MKUU AMSIMAMISHA KAZI AFISA MIPANGO LIWALE

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

#PART2: BABU RAMA ALIYEJIPIGA RISASI ya KICHWA IKATOKEA KISOGONI - ALIFICHUA MADUDU ya KUTISHA...

ULINZI WA RAIS SAMIA HUUGUSI! TAZAMA ALIVYOFIKA NYUMBANI ALIPOZALIWA NA MANDEGE YA KIVITA UTAPENDA..

#BREAKING: MFANYABIASHARA MAARUFU BABU RAMA wa KARIAKOO AJIUA kwa KUJIPIGA RISASI KICHWANI...

NAIBU WAZIRI AWAACHA HOI WENZAKE AKILA KIAPO, ARUDIA KUAPA ZAIDI YA MARA 3...

