MTOTO ALIYEGONGWA NA NYOKA AZIKWA MTWARA| FAMILIA YADAIWA 250,000| MKURUGENZI KAFUNDA AINGILIA KATI

Familia ya Mtoto aitwae Rajabu Saidi (12) aliyefariki dunia baada ya kung'atwa na Nyoka siku ya Juni 03, 2025 akiwa nyumbani kwao Kijiji cha Imekuwa kata ya Naumbu Halmashauri ya wilaya ya Mtwara, imeomba kupunguziwa au kusamehewa kiasi cha pesa wanachodaiwa katika Zahanati ya Kijiji hicho baada ya marehemu kupewa huduma ya kwanza ikiwa ni pamoja na sindano ya kuondoa sumu ya nyoka mwilini huku wakidai kuwa jumla ni Shilingi 250,000/= Akizungumza na Faida Online TV ilipofika katika Kijiji cha Msijute ambako ndiko ulikozikwa Mwili wa Marehemu, Mama aliyekuwa akimtunza Mtoto huyo aitwae Bi Habiba Litembe, amesema Mtoto huyo alikuwa anafukuza Mbuzi na ghafla akang'atwa na Nyoka, akakimbizwa kwenye zahanati ya Imekuwa ambapo baada ya kupata matibabu muda mchache baadae hali ya Mtoto huyo ilibadilika na kupewa rufaa kwenda Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula, lakini kabla hajafikishwa Ligula Mtoto huyo alifariki dunia. "Aliitwa mama mtu Chumbani, akanirejeshea mimi mrejesho kuwa kuitwa nilikoitwa mimi, tunadaiwa Shilingi 250,000/= kwa sindano ile ambayo ameitumia, baada ya hapo hali yake ikawa nzuri kidogo ila ghafla akabadilika" amesema Hamisi Ahmadi ambae ni Babu wa marehemu, mkazi wa Kijiji cha Majengo. Baadhi ya Viongozi wa Kata hiyo akiwemo Mwenyekiti wa Wazee kata ya Mayanga Mzee Saidi Hamisi Nawanda na Bi. Mwanaenzi Yusufu ambae ni Mwenyekiti wa UWT Kata hiyo ya Mayanga, wakiwa msibani hapo wameiomba Serikali kupunguza bei ya sindano hizo za kuondoa Sumu mwilini huku ukizingatia kuwa wengi wanaokumbwa na changamoto hizo ni Wananchi wa hali ya chini. Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mtwara Bw. Abeid Abeid Kafunda, amesema kuwa zahanati zote zilizopo ndani ya Halmashauri hiyo zimesambaziwa Sindano hizo za kuondoa sumu mwilini, huku akiongeza kuwa Familia hiyo isamehewe kulipa kiasi hicho cha fedha wanachodaiwa, na yule atakaeng'atwa na Nyoka na kufariki ndani ya Halmashauri hiyo, basi Familia haitakiwi kulipa tena endapo itakuwa amepatiwa tiba ya sindano hiyo ya kuondoa sumu ya Nyoka mwilini. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA BAHARI ZETU HAKIKA SISI NI WATU WA FIELD

MTOTO WA MIAKA 10 APOTEA NALIENDELE MTWARA| NDUGU WALALAMIKA WADAIWA KUTAKA KUMFANYA MSUKULE
▶︎

MTOTO WA MIAKA 10 APOTEA NALIENDELE MTWARA| NDUGU WALALAMIKA WADAIWA KUTAKA KUMFANYA MSUKULE

ADAIWA KUONEKANA SIKU CHACHE BAADA YA KUZIKWA MTWARA| FAMILIA YABAKI NJIA PANDA
▶︎

ADAIWA KUONEKANA SIKU CHACHE BAADA YA KUZIKWA MTWARA| FAMILIA YABAKI NJIA PANDA

የ36 ዓመት ‘ጥያቄ' መልስ አገኘ! የቤተሰቡ እጣ ፈንታ ምን ይሆን? Eyoha Media |Ethiopia | Habesha
▶︎

የ36 ዓመት ‘ጥያቄ' መልስ አገኘ! የቤተሰቡ እጣ ፈንታ ምን ይሆን? Eyoha Media |Ethiopia | Habesha

Kufai na mwendwa wake kuremwo kuhitha wendo wao uthoni wao
▶︎

Kufai na mwendwa wake kuremwo kuhitha wendo wao uthoni wao

WATOTO WAWILI WA FAMILIA MOJA WAFARIKI NDANI YA WIKI MOJA| IMANI ZA KISHIRIKINA ZATAJWA
▶︎

WATOTO WAWILI WA FAMILIA MOJA WAFARIKI NDANI YA WIKI MOJA| IMANI ZA KISHIRIKINA ZATAJWA

SIRI YAKO EPSODE 24 [ Laana Haifichiki ]
▶︎

SIRI YAKO EPSODE 24 [ Laana Haifichiki ]

MWEWE ANAEKWAPUA FEDHA, VITAFUNWA, KOFIA HATA JUICE MTWARA AGUSA ANGA ZA WAZEE.
▶︎

MWEWE ANAEKWAPUA FEDHA, VITAFUNWA, KOFIA HATA JUICE MTWARA AGUSA ANGA ZA WAZEE.

zifahamu hatua za kuchukua baada ya kung'atwa na nyoka.
▶︎

zifahamu hatua za kuchukua baada ya kung'atwa na nyoka.

AJALI YA GARI YAUA MKE NA MUME WAKIWA WAMELALA NDANI| DEREVA AKANDAMIZWA NA GOGO
▶︎

AJALI YA GARI YAUA MKE NA MUME WAKIWA WAMELALA NDANI| DEREVA AKANDAMIZWA NA GOGO

WANANCHI WA MTAA WA RWELU WAMJIA JUU ANAEWAINGILIA KUKU NA MBUZI| "AMEMUINGILIA KUKU HADI KUFA"
▶︎

WANANCHI WA MTAA WA RWELU WAMJIA JUU ANAEWAINGILIA KUKU NA MBUZI| "AMEMUINGILIA KUKU HADI KUFA"

BAKAID TANZANIA WAENDESHA MDAHALO KUHUSU UKATILI WA KIJINSIA MITANDAONI KATA YA MAHURUNGA MTWARA
▶︎

BAKAID TANZANIA WAENDESHA MDAHALO KUHUSU UKATILI WA KIJINSIA MITANDAONI KATA YA MAHURUNGA MTWARA

🔴LIVE: AMAKURU ARAMBUYE KUWA 15 KAMENA
▶︎

🔴LIVE: AMAKURU ARAMBUYE KUWA 15 KAMENA

POLISI WAMKAMATA EBITOKE MTWARA WADAI KUWA HAKUTEKWA ILA AMECHANGANYIKIWA| AFIKISHWA HOSPITALINI
▶︎

POLISI WAMKAMATA EBITOKE MTWARA WADAI KUWA HAKUTEKWA ILA AMECHANGANYIKIWA| AFIKISHWA HOSPITALINI

"WANATAKA KUTUDHULUMU ARDHI YETU" WANANCHI MTWARA| SERIKALI YAAHIDI KUMALIZA MALALAMIKO HAYO
▶︎

"WANATAKA KUTUDHULUMU ARDHI YETU" WANANCHI MTWARA| SERIKALI YAAHIDI KUMALIZA MALALAMIKO HAYO

Nyumba iria ndathire Saudi Arabia muthuri uria ndakorire kuu,anyitire kiahinya na agitua kamenyeri
▶︎

Nyumba iria ndathire Saudi Arabia muthuri uria ndakorire kuu,anyitire kiahinya na agitua kamenyeri

#zaramedia -ደመላሽ ቀጣዩ ተሰናባች/በድብቅ የተሰበሰቡ ጀነራሎች/''አብይ የመለስ ጫማ አልበቃውም''ጃዋር -09-05-2025
▶︎

#zaramedia -ደመላሽ ቀጣዩ ተሰናባች/በድብቅ የተሰበሰቡ ጀነራሎች/''አብይ የመለስ ጫማ አልበቃውም''ጃዋር -09-05-2025

LORI LILILOBEBA MAKAA YA MAWE LAUA WANNE NA WENGINE KUJERUHIWA MKOANI LINDI| VILIO VYATAWALA
▶︎

LORI LILILOBEBA MAKAA YA MAWE LAUA WANNE NA WENGINE KUJERUHIWA MKOANI LINDI| VILIO VYATAWALA

AJALI YA BODABODA NA GARI YATOKEA MNJALENI MTWARA| MAJERUHI WAKIMBIZWA HOSPITALI YA MKOA - LIGULA
▶︎

AJALI YA BODABODA NA GARI YATOKEA MNJALENI MTWARA| MAJERUHI WAKIMBIZWA HOSPITALI YA MKOA - LIGULA

WATU WANNE WAFARIKI KWA AJALI MASASI | DC KASANDA AWATEMBELEA MAJERUHI HOSPITALINI
▶︎

WATU WANNE WAFARIKI KWA AJALI MASASI | DC KASANDA AWATEMBELEA MAJERUHI HOSPITALINI

Goobta dalxiska ee Sun and Sand Resort, oo Somali ay leyahiin waa meshii aad nafta ugu raxayn lahayd
▶︎

Goobta dalxiska ee Sun and Sand Resort, oo Somali ay leyahiin waa meshii aad nafta ugu raxayn lahayd