WANANCHI WA MTAA WA RWELU WAMJIA JUU ANAEWAINGILIA KUKU NA MBUZI| "AMEMUINGILIA KUKU HADI KUFA"
Wananchi wa Mtaa wa Rwelu Manispaa ya Mtwara Mikindani Mkoani Mtwara, wamekuja juu baada ya kushuhudia Mifugo yao ikiingiliwa na Mtu ambaye ni Mkazi wa Mtaa huo huku wakishangaa ni kwa nini anafanya hivyo. Mifugo hiyo ni pamoja na Mbuzi na Kuku ambapo inasemekana kuwa baadhi ya Kuku aliowaingilia wamekufa kabisa, na wameenda mbali zaidi na kusema baadhi ya Watu ambao Mifugo yao imefanyiwa vitendo hivyo vya kidhalimu, hawafikishi jambo hilo Serikalini, bali wanamalizana kimya kimya. Wananchi hao wamesema hawawezi tena kununua Supu ya Kuku hata Mbuzi katika Mtaa huo kutokana na kushamili kwa vitendo hivyo. Ally Saidi Namala ni Mwenyekiti wa Mtaa huo wa Rwelu, amesema hapendi kuona mambo hayo yanatokea huku akijiandaa kumchukulia hatua endapo ataendelea na vitendo hivyo. #FaidaOnlinetvUPDATES

MTOTO WA MIAKA 10 APOTEA NALIENDELE MTWARA| NDUGU WALALAMIKA WADAIWA KUTAKA KUMFANYA MSUKULE

WANANCHI WAMGOMEA MKUU WA KITUO CHA POLISI DIWANI ACHARUKA MKUTANO WAVURUGIKA NA KUSAMBARATIKA

BODA BODA AGONGA TRENI - MUENDESHA PIKIPIKI ZINGATIA USALAMA UNAPOVUKA KATIKA KIVUKO CHA RELI

WATOTO WAWILI WA FAMILIA MOJA WAFARIKI NDANI YA WIKI MOJA| IMANI ZA KISHIRIKINA ZATAJWA

What We Found Broke Our Hearts | 90-Year-Old Man & His 78-Year-Old Wife Married for 30 Years

"WANATAKA KUTUDHULUMU ARDHI YETU" WANANCHI MTWARA| SERIKALI YAAHIDI KUMALIZA MALALAMIKO HAYO

HECHE HAKAMATIKI, AWAPA UKWELI MCHUNGU POLISI NA WATAWALA, AONGEZEWE ULINZI, ATIKISA MBARALI BALAA

Wafugaji Wengi Hawajui! Majani 7 Yanayofanya Kuku Watage Zaidi.

BAKAID TANZANIA WAENDESHA MDAHALO KUHUSU UKATILI WA KIJINSIA MITANDAONI KATA YA MAHURUNGA MTWARA

Urgent : Ousmane Sonko humilie Abdou Mbow "sa wayy togal té noppi"

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

EBY’OKWEYIMIRIRA LUKWAGO : Neera bijulidde; ensala ya kkooti yakuyisibwa ku mutimbagano

YANGA SC YAPANGA KULIPA KISASI ZENJI/SIMBA SC YAKOMAA NA UBINGWA MSIMU HUU/MABADILIKO YA KANUNI

WANAUME WATAKIWA KUJITOKEZA KWENYE MASUALA YA AFYA NA LISHE YA MTOTO

Norwegen – Senegal Highlights | Gruppe I, FIFA WM 2026 | sportstudio

MBUNGE ALIYESEMA BODABODA NA MACHINGA WALIPE 1000 KWA SIKU AKUTANA NA KIGINGI KIZITO MBEYA

IRI JORO LE 22|6 BURUNDI IBYA BUYOYA BIRAGARUTSE, IBYO KWIMURA IMVA YA NDADAYE BIJEMO BITEJE IBIBAZO

🚨🚨Démolition en chaîne : des parents sans refuge voient leurs abris rasés une fois de plus🔥🔥

بادية الصومال | Miyiga Soomaal

