BAKAID TANZANIA WAENDESHA MDAHALO KUHUSU UKATILI WA KIJINSIA MITANDAONI KATA YA MAHURUNGA MTWARA
BAKAID Tanzania ni shirika lisilo la kiserikali linalofanya kazi chini ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), kwa ufadhili wa Norwegian Church Aid (NCA), katika kutekeleza mradi wa kupinga Ukatili wa Kijinsia (Gender-Based Violence - GBV) pamoja na kuimarisha usalama na ustawi wa jamii. Mradi huu unatekelezwa katika Halmashauri tatu za Mkoa wa Mtwara ambazo ni Mtwara DC, Tandahimba DC na Nanyamba TC. Katika kila halmashauri, shughuli za mradi zinafanyika katika kata tatu, na kufanya jumla ya kata tisa zinazofikiwa na mradi. Shirika hilo limefanya Mdahalo wa kupinga ukatili wa kijinsia Mitanaoni, Uliofanyika katika Viunga vya Shule ya Sekondari Mahurunga Kata ya Mahurunga Halmashauri ya wilaya ya Mtwara siku ya June 16, 2026 ikiwa ni Sehemu ya kuadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika. Kupitia ushirikiano na viongozi wa dini, viongozi wa serikali, wanawake, vijana na makundi mbalimbali ya kijamii, BAKAID Tanzania inaendelea kutoa elimu, kuhamasisha jamii na kuimarisha mifumo ya kuzuia na kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ili kujenga jamii salama, yenye usawa na haki kwa wote. SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU.

MTOTO WA MIAKA 10 APOTEA NALIENDELE MTWARA| NDUGU WALALAMIKA WADAIWA KUTAKA KUMFANYA MSUKULE

What We Found Broke Our Hearts | 90-Year-Old Man & His 78-Year-Old Wife Married for 30 Years

BODA BODA AGONGA TRENI - MUENDESHA PIKIPIKI ZINGATIA USALAMA UNAPOVUKA KATIKA KIVUKO CHA RELI

"WANATAKA KUTUDHULUMU ARDHI YETU" WANANCHI MTWARA| SERIKALI YAAHIDI KUMALIZA MALALAMIKO HAYO

YANGA SC YAPANGA KULIPA KISASI ZENJI/SIMBA SC YAKOMAA NA UBINGWA MSIMU HUU/MABADILIKO YA KANUNI

Frankreich – Irak Highlights | Gruppe I, FIFA WM 2026 | sportstudio

News Update ማህበረሰባችን ሴቶች ላይ የሚደርስ ጥቃትን ያቀላል

SO GOOD they got Bruno's Golden Buzzer MID-PERFORMANCE | Auditions | BGT 2023

SHIRIKA LA BAKAID LATOA ELIMU YA UKATILI WA KIJINSIA MTANDAONI KWA KIKUNDI CHA MALEZI CHANYA TANGAZO

WANAUME WATAKIWA KUJITOKEZA KWENYE MASUALA YA AFYA NA LISHE YA MTOTO

ABASAJJA BAKAABA OLWABAKAZI OKUBAKUBA NEBAFIIRA MUKIMUGUNYU#amasukkulumuku3 || 21ST JUNE 2026

Is Ruto Buying Silence Before June 25? | Justice, Police Brutality & Gen Z Protests Debate

EBY’OKWEYIMIRIRA LUKWAGO : Neera bijulidde; ensala ya kkooti yakuyisibwa ku mutimbagano

PM Abiy Ahmed has secured a landslide victory in Ethiopia's election

የ“አራዳ የበጎነት መንደር” ግንባታ መጀመር እና የከንቲባ አዳነች አቤቤ ታሪካዊ መልዕክት | Arada | Mayor Adanech Abiebie |

JE, NI ZIPI MBINU BORA ZA KUJIAJIRI MWENYEWE?

UK Based Elderly African’S ILR REVOKED!

Urgent : Ousmane Sonko humilie Abdou Mbow "sa wayy togal té noppi"

ADBN NEWS

