"TUZO ZIKACHOCHEE UWAJIBIKAJI-DC MAJIDI.

KATAVI: Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko ambaye amewakilishwa na mkuu wa wilaya ya Mlele Majid Mwanga amewataka vijana kutotumia vibaya na watu wenye nia ovu ya kuharibu amani na badala yake waendelee kutii tunu za Taifa. Hayo yamejiri katika usiku wa utoaji tuzo kwa wadau shupavu ambayo inalenga kuchochea uwajibikaji katika maeneo yao ya kazi. Mkurugenzi wa Holysimile Anold Bweichum ambaye ni mratibu wa mashindano hayo ya mdau shubavu amesema atahakikisha mashindano hayo yameleta toka zaidi.