RC MTAMBI AKABIDHI MKOPO WA BIL. 1.02 KWA VIJANA BBT-UVUVI
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Mtambi amekabidhi mitaji yenye thamani ya Shilingi Bil. 1.02 kwa vijana wanufaika wa Programu ya Jenga kesho iliyo bora upande wa sekta ya Uvuvi (BBT-UVUVI) kwenye hafla iliyofanyika Mei 28,2026 kwenye Ufukwe wa Tembo eneo la Lakeside mkoa Mara. Akizungumza mara baada ya kukabidhi mitaji hiyo iliyojumuisha jumla ya vizimba 40 kwa vijana 40 Kanali Mtambi amewataka vijana hao kuhakikisha wanasimamia vizuri mradi huo ili uweze kuwapa matokeo wanayotarajia. “Lakini la pili mhakikishe kuwa mnaposimamia vizuri mnafata zile kanuni na maelekezo ya ufugaji bora wa samaki na la tatu ni kuhakikisha wakati mnaendelea na mchakato wote huu kile mnachopata mnakirejesha ili kuwawezesha vijana wengi zaidi kupata mikopo hiyo” Ameongeza Mhe. Kanali Mtambi. Aidha Kanali Mtambi ameahidi kuwa mlezi wa wanufaika hao ambapo amewataka wataalam kuhakikisha wanawatembelea mara kwa mara na kuwapa ushauri wa kitaalam ili kuongeza tija kwenye ufugaji wao.

MAKALA-UGAWAJI HUNDI YA BILIONI 7 KWA VIJANA BBT-UVUVI MWANZA

LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 180 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

CHUO CHA KIMATAIFA CHA UVUVI KUJENGWA BAGAMOYO

DKT. BASHIRU AGEUKA ‘MBOGO’ NARCO KUKOSA DAWA ZA MIFUGO

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

TALIRI YAPATA MAFANIKIO LUKUKI KIPINDI CHA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA

BBT-UVUVI AWAMU YA PILI YAONESHA MATUNDA

FURSA ILIYOPO KWENYE UFUGAJI WA KONDOO

SERIKALI NA TDCU KUZITATUA CHANGAMOTO ZA KIWANDA CHA MAZIWA TANGA

MAKALA FUPI: Uvuvi ni Fursa! Chukua Hatua!

No One Will Ever Find This Hidden Underground Fortress! | Start to Finish

SERIKALI YAKABIDHI BILIONI 7 KWA VIJANA 308 MRADI WA BBT UVUVI.

MSTAAFU ALIYEAMUA KUHAMIA KWENYE UFUGAJI WA SAMAKI

WATENDAJI LONGIDO WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA KISASA WA TAARIFA ZA LISHE

HAFLA YA UZINDUZI WA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

YANAYOENDELEA BANDA LA TALIRI KWENYE MAONESHO YA SABASABA 2025

BUNGE LAPONGEZA MAFANIKIO YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO

KUTANA NA MZEE MPOGO! Mfugaji maarufu wa jongoo bahari Mafia!

SHILINGI BIL. 30.8 KUTUMIKA KWENYE CHANJO NA UTAMBUZI MIFUGO 2026/2027

