SERIKALI NA TDCU KUZITATUA CHANGAMOTO ZA KIWANDA CHA MAZIWA TANGA

Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Taasisi ya Bodi ya Maziwa, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Chama cha Ushirika wa Wazalishaji Maziwa Mkoa wa Tanga (TDCU ) inaendelea na utatuzi wa changamoto za Kiwanda cha Kusindika Maziwa cha Tanga (Tanga Fresh ) ambacho kina uwezo wa kusindika maziwa lita 120,000 kwa siku. Hayo yameelezwa leo Aprili 13, 2026 Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Ng’wasi Kamani wakati akijibu swali la Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM) Mhe. Timotheo Paul Mnzava wakati wa Kipindi cha Maswali na Majibu cha Bunge la Kumi na Tatu (13), Mkutano wa Tatu (3), Kikao cha Saba(7). Swali hilo lilihoji juu ya mkakati wa serikali wa kuwasaidia wafugaji wa Korogwe Vijijini na Mkoa wa Tanga kwa ujumla kupata soko na bei ya uhakika ya maziwa, ambapo Naibu Waziri Mhe. Kamani amesema kuwa Wizara kwa kushirikiana na wadau wa maziwa zikiwemo taasisi za fedha imeshaanza kuzitafutia ufumbuzi changamoto hizo ili kiwanda hicho kiendelee na uzalishaji. “Mheshimiwa Mwenyekiti Kiwanda cha Tanga Fresh ndio soko kubwa la maziwa yote ya Mkoa wa Tanga na Mikoa jirani, changamoto za kiwanda hicho ni pamoja na upungufu wa mtaji na gharama kubwa za uendeshaji, Mheshimiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi tayari ameshaanza majadiliano na kiwanda hicho na wadau wengine ili kutatua changamoto hizo” alisema Mhe. Kamani. Aidha, Mhe. Kamani aliongeza kuwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, inatekeleza Mradi wa miaka Kumi (10) wa Mageuzi ya Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabianchi(C-SDTP) katika mikoa 13 nchini (8 Tanzania Bara na 5 Zanzibar), hatua hii inalenga kuwasaidia wafugaji kwa ujumla kupata soko na bei ya uhakika ya maziwa

SHILINGI BIL. 30.8 KUTUMIKA KWENYE CHANJO NA UTAMBUZI MIFUGO 2026/2027
▶︎

SHILINGI BIL. 30.8 KUTUMIKA KWENYE CHANJO NA UTAMBUZI MIFUGO 2026/2027

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA
▶︎

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

TALIRI YAPATA MAFANIKIO LUKUKI KIPINDI CHA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA
▶︎

TALIRI YAPATA MAFANIKIO LUKUKI KIPINDI CHA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA

VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA HAVIKO HURU|| WAZIRI HAKUTAKIWA KUINGILIA|| SAKATA LA KATAMBI SURA MPYA
▶︎

VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA HAVIKO HURU|| WAZIRI HAKUTAKIWA KUINGILIA|| SAKATA LA KATAMBI SURA MPYA

Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''
▶︎

Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA
▶︎

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

MAKALA-UGAWAJI HUNDI YA BILIONI 7 KWA VIJANA BBT-UVUVI MWANZA
▶︎

MAKALA-UGAWAJI HUNDI YA BILIONI 7 KWA VIJANA BBT-UVUVI MWANZA

WAKILI MADELEKA acharuka AJIPANGA KUKIBURUZA CHUO CHA ARDHI MAHAKAMANI "WEWE UTAKIFUNGA CHUO"
▶︎

WAKILI MADELEKA acharuka AJIPANGA KUKIBURUZA CHUO CHA ARDHI MAHAKAMANI "WEWE UTAKIFUNGA CHUO"

My B#BUNGELIVE. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA NANE TAREHE 11 roadcast
▶︎

My B#BUNGELIVE. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA NANE TAREHE 11 roadcast

YANAYOENDELEA BANDA LA TALIRI KWENYE MAONESHO YA SABASABA 2025
▶︎

YANAYOENDELEA BANDA LA TALIRI KWENYE MAONESHO YA SABASABA 2025

Inkotanyi ntitwashidikanyaga ko tuzatsinda urugamba - Lt. Gen (Rtd) Karenzi Karake
▶︎

Inkotanyi ntitwashidikanyaga ko tuzatsinda urugamba - Lt. Gen (Rtd) Karenzi Karake

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026
▶︎

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

HAFLA YA UZINDUZI WA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU
▶︎

HAFLA YA UZINDUZI WA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

DR NASRA WA ACT WAZALENDO WAMOTO ''kama wanania watafute  maeneo yenye maegesho karibu''
▶︎

DR NASRA WA ACT WAZALENDO WAMOTO ''kama wanania watafute maeneo yenye maegesho karibu''

WAZIRI KOMBO AWEKA HOJA NZITO ya BUNGE la ULAYA - "INAANZA na FREE! - HOJA IPO kwa MUJIBU wa KATIBA"
▶︎

WAZIRI KOMBO AWEKA HOJA NZITO ya BUNGE la ULAYA - "INAANZA na FREE! - HOJA IPO kwa MUJIBU wa KATIBA"

MWANAMKE MWENYE SIFA HIZI HAFAI KUWA MKEO || EV DANIELY JOSHUAN || RGCM GOBA CENTER
▶︎

MWANAMKE MWENYE SIFA HIZI HAFAI KUWA MKEO || EV DANIELY JOSHUAN || RGCM GOBA CENTER

PROF  OMAR WA ACT WAZALENDO AISHAMBULIA OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS
▶︎

PROF OMAR WA ACT WAZALENDO AISHAMBULIA OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS

WAZIRI MKUU AGEUKA MBOGO AWALIPUA VIBAYA WALIOPANGA KUFANYA FUJO "TUMEMKAMATA ANALIPWA MULIONI 5"
▶︎

WAZIRI MKUU AGEUKA MBOGO AWALIPUA VIBAYA WALIOPANGA KUFANYA FUJO "TUMEMKAMATA ANALIPWA MULIONI 5"

| SUNDAY LIVE | THE JIMI WANJIGI PLAN
▶︎

| SUNDAY LIVE | THE JIMI WANJIGI PLAN