SERIKALI YAKABIDHI BILIONI 7 KWA VIJANA 308 MRADI WA BBT UVUVI.

Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekabidhi hundi ya shilingi Bil. 7 kuwezesha mitaji kwa vijana waliohitimu mafunzo ya program ya Jenga Kesho iliyo Bora kwa upande wa sekta ya Uvuvi (BBT-UVUVI) ambapo zitatumika kwenye shughuli za ukuzaji viumbe maji. Akizungumza kabla ya kukabidhi hundi hiyo Mgeni rasmi wa hafla hiyo ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe. Joel Nanauka amesema kuwa fedha hizo zinatolewa kama mikopo yenye mashart nafuu kwa vijana kwa ajili ya kuwezesha mitaji, vifaa, pembejeo muhimu za ukuzaji viumbe maji pamoja na posho ya kujikimu kwa washiriki. "Program hii haitaishia tuu hapa , itaenda ukanda wa pwani na mtwara kwani mradi wenyewe una sura ya ukuzaji wa uchumi wa buluu ” Amesema Mhe. Nanauka Aidha amewakumbusha vijana wanufaika kuwa hii ni mikopo, wana wajibu wa kufanya marejesho kwa uaminifu ili fedha zinazopatikana ziweze kuwasaidia vijana wengine ambao wana uhitaji. Naye Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe Ng'wasi Kamani amesema kuwa uwezeshaji wa vijana hao ni sehemu ya mikakati ya wizara ya kuongeza uzalishaji pamoja na kuongeza mchango wa sekta ya uvuvi katika pato la Taifa sambamba na utoaji wa ajira nchini.

MAKALA-UGAWAJI HUNDI YA BILIONI 7 KWA VIJANA BBT-UVUVI MWANZA
▶︎

MAKALA-UGAWAJI HUNDI YA BILIONI 7 KWA VIJANA BBT-UVUVI MWANZA

TANESCO YAFAFANUA UMEME ULIVYOKATIKA NCHI NZIMA "MAENEO MATATU NA KITUO YALIPATA HITILAFU"
▶︎

TANESCO YAFAFANUA UMEME ULIVYOKATIKA NCHI NZIMA "MAENEO MATATU NA KITUO YALIPATA HITILAFU"

BBT-UVUVI AWAMU YA PILI YAONESHA MATUNDA
▶︎

BBT-UVUVI AWAMU YA PILI YAONESHA MATUNDA

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA
▶︎

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

YANAYOENDELEA BANDA LA TALIRI KWENYE MAONESHO YA SABASABA 2025
▶︎

YANAYOENDELEA BANDA LA TALIRI KWENYE MAONESHO YA SABASABA 2025

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA
▶︎

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

ORENGO AGAIN! Listen to his latest TERRIFYING Message to Ruto today from Ugunja
▶︎

ORENGO AGAIN! Listen to his latest TERRIFYING Message to Ruto today from Ugunja

BUNGE LAKOSHWA NA UWEPO WA MELI YA KWANZA YA UVUVI NCHINI
▶︎

BUNGE LAKOSHWA NA UWEPO WA MELI YA KWANZA YA UVUVI NCHINI

MSTAAFU ALIYEAMUA KUHAMIA KWENYE UFUGAJI WA SAMAKI
▶︎

MSTAAFU ALIYEAMUA KUHAMIA KWENYE UFUGAJI WA SAMAKI

MAKALA FUPI: Uvuvi ni Fursa! Chukua Hatua!
▶︎

MAKALA FUPI: Uvuvi ni Fursa! Chukua Hatua!

RC MTAMBI AKABIDHI MKOPO WA BIL. 1.02  KWA VIJANA BBT-UVUVI
▶︎

RC MTAMBI AKABIDHI MKOPO WA BIL. 1.02 KWA VIJANA BBT-UVUVI

MWL NYERERE NA HARAKATI ZA UHURU BAGAMOYO.
▶︎

MWL NYERERE NA HARAKATI ZA UHURU BAGAMOYO.

LONGIDO YASIKILIZA CHANGAMOTO ZA WAFANYA BIASHARA WA MIFUGO
▶︎

LONGIDO YASIKILIZA CHANGAMOTO ZA WAFANYA BIASHARA WA MIFUGO

Hapa NDIPO KAOLE BAGAMOYO kwenye MAKUMBUSHO ya KALE ya KIHISTORIA..
▶︎

Hapa NDIPO KAOLE BAGAMOYO kwenye MAKUMBUSHO ya KALE ya KIHISTORIA..

DKT. BASHIRU AWATAKA VIJANA “BBT” KUTUMIA VEMA FURSA WALIYOPEWA NA SERIKALI
▶︎

DKT. BASHIRU AWATAKA VIJANA “BBT” KUTUMIA VEMA FURSA WALIYOPEWA NA SERIKALI

TALIRI YAPATA MAFANIKIO LUKUKI KIPINDI CHA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA
▶︎

TALIRI YAPATA MAFANIKIO LUKUKI KIPINDI CHA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA

🔴Waziri Katambi Atuma Polisi kwa John Heche, Mkuu wa Chadema Ahofia Maisha na Usalama wa Familia
▶︎

🔴Waziri Katambi Atuma Polisi kwa John Heche, Mkuu wa Chadema Ahofia Maisha na Usalama wa Familia

MAKALA MAALUMU YA TALIRI KANDA YA KATI
▶︎

MAKALA MAALUMU YA TALIRI KANDA YA KATI

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

How I became Super Rich Without Ever being Employed!!MP Ndindi Nyoro!!
▶︎

How I became Super Rich Without Ever being Employed!!MP Ndindi Nyoro!!