April 30, 2026

"Cheo ni dhamana" hayo Ameyasema Naibu Mkuu wa KMKM Capt. Hussein Mohd Seif Kwa niaba ya Mkuu wa KMKM Commodore Azana Hassan Msingiri huko makao Makuu KMKM Kibweni Alipokuwa Akiwavisha vyeo Manco's na Wapiganaji wa KMKM.Jumla Mancos 164 Wamepandishwa vyeo Kwa ngazi tofauti. Pamoja na kuwataka kuongeza Nidhamu na kushiriki katika Mafunzo yatayoweza kuwaletea ufanisi katika kazi zao.