May 19, 2026
Kikosi cha KMKM Zanzibar leo tarehe 18/05/2026 kimefanikiwa kuopoa mwili wa Marehemu Adinani Abdalla Bilal Mkaazi wa kibweni mwenye umri wa miaka 20 Ambaye Amezama katika Bahari ya kibweni yuma ya hotel ya Golden tulip. Mwili wa Marehemu huyo ulikabidhiwa katika Hospitali ya Chumbuni kwa Ajili ya uchunguzi zaidi . Aidha Mkuu wa Mawasiliano katika kitengo cha Uzamiaji na Uwokozi KMKM L/t. Malik Makame Hussen Amewataka vijana kwa kuchukuwa Tahadhar zaidi Mapema juu ya Suala la kuogelea na pindi watakapopata Maafa yoyote kutoa taarifa katika kikosi cha KMKM kwa hatua zaidi.

▶︎
JAKU AJIRIPUA KWA NAIBU WAZIR BADRIA ''TUFUTANE UKAONE USHAHIDI WA KINYAMWEZI''

▶︎
May 21, 2026

▶︎
Wakuu wa vikosi vya Idara Maalum za SMZ wakifanya opresheni maalum Mkoa wa kaskazini Unguja

▶︎
MWAFAKA WAIVA ZANZIBAR,SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA (SUKI) MBIONI KUREJEA

▶︎
MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

▶︎
Viongoz mbalibali wa serikali walio hudhuria katika Mazishi ya Lcdr Khamis Haji Khamis (Kamishna )

▶︎
May 7, 2026

▶︎
Amazing Process of Making Millions of Padlocks & key In Factory | Manufacturing process

▶︎
KMKM Kamandi ya Kusini kimefanikiwa kukamata Magendo ya Mafuta ya kupikia Sabuni katika Eneo la Uzi

▶︎
🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA

▶︎
WANAFUNZI 14 WAACHIWA HURU

▶︎
Kivumbi cha timka Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Waziri Nadiri na Mhe. Jaku wakamatana bila woga.

▶︎
HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

▶︎
MAMLAKA YA MJI MKONGWE YAWABANA WAFANYABIASHARA HOLELA DARAJANI

▶︎
How He Cuts This 478kg GIANT Bluefin Tuna Will Blow Your Mind #MonsterTuna

▶︎
MELI YA KWANZA YA KIMATAIFA YASHUSHA MAFUTA ZANZIBAR

▶︎
UFUNGAJI WA KOZI UONGONZI MKUBWA NA MDOGO KMKM KAMA

▶︎
TAARIFA KWA UMMA

▶︎
See How a 453kg Giant Bluefin Tuna Is Flawlessly Carved in Seconds

▶︎
