May 2, 2026

PEMBA Mkuu wa kamandi ya kmkm kamandi ya pemba CDR kamanda Bakari salum Othman Amewavisha vyeo baadhi ya Manco’s Pamoja na Mabaharia kwa Niaba ya mkuu wa kikosi maalumu cha kuzuia Magendo kmkm Commodore Azana Hassan Msingiri. Kamanda Bakari Amewapongeza manco’s hao Pamoja na mabaharia kwa kupanda vyeo huku akiwataka Kwenda kuvitumikia vyeo hivyo walivyo Vishwa kwani ni dhamana na wanapaswa kusimamia dhamana hiyo ili kutekeleza mambo ya kusimamia nidhamu Pamoja na uadilifu katika kazi zao .