WAZIRI RAHMA ASITISHA UJENZI KATIKA ENEO LENYE MGOGORO KIZIMKAZI

Waziri wa Ardhi, Maendeleo ya Makazi, Mhe. Rahma Kassim Ali, amesimamisha shughuli zote za ujenzi katika eneo lenye mgogoro Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, baada ya kubainika kuwa wanaodaiwa kumiliki eneo hilo hawajakidhi vigezo halali vya umiliki wa ardhi. Akizungumza katika eneo hilo, Mhe. Rahma amesema shughuli zote za ujenzi zitasimamishwa hadi Kamisheni ya Ardhi Zanzibar itakapokamilisha uchunguzi na kutoa uamuzi kuhusu matumizi halali ya eneo hilo. Kwa upande wake, Katibu wa Wizara ya Ardhi, Maendeleo ya Makazi, Mussa Kombo Bakari, amewataka wananchi kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za umiliki wa ardhi ili kuepusha migogoro inayoweza kujitokeza. Naye Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, Mhe. Othman Ali Maulid, amesema maagizo ya kusimamisha shughuli za ujenzi yataendelea kutekelezwa kikamilifu hadi uchunguzi utakapokamilika. Kwa upande wake, mmoja wa wanaodaiwa kumiliki eneo hilo, Ndg. Yussuf Idrissa Mudu, amesema ameliachia suala hilo mikononi mwa Serikali ili uchunguzi ufanyike na haki itendeke kwa mujibu wa sheria. #Zanzibar #Ardhi #Kizimkazi #MaendeleoYaMakazi #RahmaKassimAli #KamisheniYaArdhi #AsamOnlineTV #TrendingNow

DC SAID AWATOA HOFU WAVUVI WA MARUHUBI KUHUSU UHAMIAJI NGALAWA
▶︎

DC SAID AWATOA HOFU WAVUVI WA MARUHUBI KUHUSU UHAMIAJI NGALAWA

ስነ ስርዓት ምምራቕ መበል 38 ዙርያ ኣባላት ሃገራዊ ኣገልግሎት - ሳዋ | ERi-TV
▶︎

ስነ ስርዓት ምምራቕ መበል 38 ዙርያ ኣባላት ሃገራዊ ኣገልግሎት - ሳዋ | ERi-TV

DC SAID HAJI MRISHO AKAGUA KARO LINALOVUJISHA MAJI MACHAFU FORODHANI
▶︎

DC SAID HAJI MRISHO AKAGUA KARO LINALOVUJISHA MAJI MACHAFU FORODHANI

How Rwandan Refugees SECRETLY Built a Rebel Movement in Uganda & Kenya | Tharcisse Karugarama
▶︎

How Rwandan Refugees SECRETLY Built a Rebel Movement in Uganda & Kenya | Tharcisse Karugarama

From Minnesota to Dandora dumpsite: The story of an American citizen abandoned in Kenya at just 13.
▶︎

From Minnesota to Dandora dumpsite: The story of an American citizen abandoned in Kenya at just 13.

MFUMKO WA BEI ZANZIBAR WAPANDA KUTOKA ASILIMIA 4.09 HADI 6.01 MWEZI JUNI 2026
▶︎

MFUMKO WA BEI ZANZIBAR WAPANDA KUTOKA ASILIMIA 4.09 HADI 6.01 MWEZI JUNI 2026

SEREKALI YADHIBITI UCHAFU FORODHANI
▶︎

SEREKALI YADHIBITI UCHAFU FORODHANI

ALIKO DANGOTE ADDRESSES DAY TWO OF AFRICAN CAUCUS 2026 IN BANJUL 07.07.26
▶︎

ALIKO DANGOTE ADDRESSES DAY TWO OF AFRICAN CAUCUS 2026 IN BANJUL 07.07.26

ZAIDI YA MILIONI 200 KUTUMIKA KATIKA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA LA TAWI LA CCM - JANG'OMBE
▶︎

ZAIDI YA MILIONI 200 KUTUMIKA KATIKA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA LA TAWI LA CCM - JANG'OMBE

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.
▶︎

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.

WANANCHI WAPONGEZA MARIDHIANO YA CCM NA ACT WAZALENDO, WASEMA NI MSINGI WA AMANI NA MAENDELEO
▶︎

WANANCHI WAPONGEZA MARIDHIANO YA CCM NA ACT WAZALENDO, WASEMA NI MSINGI WA AMANI NA MAENDELEO

WAVUVI WATAKA MAELEWANO NA SEREKALI KABLA YA KUHAMA
▶︎

WAVUVI WATAKA MAELEWANO NA SEREKALI KABLA YA KUHAMA

UCHAGUZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI HORIZON INSTITUTE OF TECHNOLOGY
▶︎

UCHAGUZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI HORIZON INSTITUTE OF TECHNOLOGY

Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process | How Toilet Bowls Are Made in Factory
▶︎

Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process | How Toilet Bowls Are Made in Factory

HECHE SPEAKS TO TANZANIANS THIS EVENING
▶︎

HECHE SPEAKS TO TANZANIANS THIS EVENING

HARMONIZE ALIVYO PANDISHWA JUKWAANI NA STARA THOMAS KWENYE MIAKA 30 YA BONGO FLEVA
▶︎

HARMONIZE ALIVYO PANDISHWA JUKWAANI NA STARA THOMAS KWENYE MIAKA 30 YA BONGO FLEVA

TAMKO LA PAMOJA  LA MARIDHIANO YA KISIASA BAINA YA CCM NA ACT,  ZANZIBAR
▶︎

TAMKO LA PAMOJA LA MARIDHIANO YA KISIASA BAINA YA CCM NA ACT, ZANZIBAR

TUFUNUWE KITABU (SILSILA 25): Zanzibar: The Last Years of the Protectorate cha Maulid Mshangama
▶︎

TUFUNUWE KITABU (SILSILA 25): Zanzibar: The Last Years of the Protectorate cha Maulid Mshangama

MKUU WA WILAYA ASIKIA MAZITO KUTOKA KWA WANANCHI
▶︎

MKUU WA WILAYA ASIKIA MAZITO KUTOKA KWA WANANCHI

Tuliishi hapa, Mungu ametutoa mbali🙏🏼- Full old house tour
▶︎

Tuliishi hapa, Mungu ametutoa mbali🙏🏼- Full old house tour