TOMONDO YAHIMIZWA KUENDELEZA UTAMADUNI WA USAFI WA MAZINGIRA

Wananchi wa Shehia ya Tomondo, Wilaya ya Magharibi B Unguja, wamehimizwa kuendeleza utamaduni wa kufanya usafi wa mazingira ili kujikinga na magonjwa yanayotokana na uchafu, kulinda afya za jamii na kuhakikisha mazingira yanabaki salama. Wito huo umetolewa na Diwani wa Wadi ya Kisauni, Hassan Ali Nassor, wakati wa zoezi la usafi wa mazingira lililofanyika katika shehia hiyo. Akizungumza katika zoezi hilo, Hassan amesema usafi wa mazingira ni jukumu la kila mwananchi, akieleza kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za usafi unachangia kuimarisha afya ya jamii na kuifanya Tomondo kuwa sehemu salama na yenye mazingira bora ya kuishi. Kwa upande wake, Sheha wa Shehia ya Tomondo, Mohammed Omar Said (Kidevu), amewataka wananchi kuacha tabia ya kutupa taka ovyo, hususan kwenye mitaro, akisema hali hiyo husababisha kuziba kwa njia za maji, kuongeza hatari ya mafuriko pamoja na miripuko ya magonjwa. Naye Katibu wa Baraza la Vijana wa Shehia ya Tomondo, Abal Hassan, amewahimiza vijana kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo ya jamii, ikiwemo kampeni za usafi wa mazingira, akisisitiza kuwa wao ni nguzo muhimu katika kujenga jamii yenye afya, mazingira safi na maendeleo endelevu. #Zanzibar #Tomondo #Usafi #Mazingira #Afya #Community #AsamOnlineTV #ForYou #FYP #TikTokTanzania #InstaNews #TrendingNow

🔴#LIVE: HECHE AFUNGUKA MAZITO-CCM WANAHUSIKA KUIBOMOA CHADEMA? /SUDAN HAKUJAPOA /KATAMBI MAHAKAMANI
▶︎

🔴#LIVE: HECHE AFUNGUKA MAZITO-CCM WANAHUSIKA KUIBOMOA CHADEMA? /SUDAN HAKUJAPOA /KATAMBI MAHAKAMANI

WAZANZIBAR SIO WABAGUZI - DK MUCHUNGUZI, AFUNGUKA MAZITO
▶︎

WAZANZIBAR SIO WABAGUZI - DK MUCHUNGUZI, AFUNGUKA MAZITO

SIMANZI BUBUBU: VIJANA WATATU WAFARIKI KWA KUZAMA KATIKA MTO MWANAMANJAA
▶︎

SIMANZI BUBUBU: VIJANA WATATU WAFARIKI KWA KUZAMA KATIKA MTO MWANAMANJAA

PROGRESS IN THE CONSTRUCTION OF PEMBA INTERNATIONAL AIRPORT.
▶︎

PROGRESS IN THE CONSTRUCTION OF PEMBA INTERNATIONAL AIRPORT.

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa
▶︎

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA
▶︎

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA

CHINA NAE AMEAMUA KUINGIA MZIMA MZIMA SAKATA LA MFEREJI WA HORMUZ | JESHI LA MAREKANI LAWEKA VIZUIZI
▶︎

CHINA NAE AMEAMUA KUINGIA MZIMA MZIMA SAKATA LA MFEREJI WA HORMUZ | JESHI LA MAREKANI LAWEKA VIZUIZI

MZOZO WA KODI BARA NA ZANZIBAR MAKAMO WA PILI WA RAIS ZANZIBAR ANYOOSHA MAELEZO
▶︎

MZOZO WA KODI BARA NA ZANZIBAR MAKAMO WA PILI WA RAIS ZANZIBAR ANYOOSHA MAELEZO

WANANCHI WAONYWA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA ZANZIBAR
▶︎

WANANCHI WAONYWA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA ZANZIBAR

Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB
▶︎

Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB

Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):
▶︎

Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):

Mkurugenzi Mkuu wa ZARTSA awaondosha wafanyabiashara waliopo pembezoni mwa barabara.
▶︎

Mkurugenzi Mkuu wa ZARTSA awaondosha wafanyabiashara waliopo pembezoni mwa barabara.

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO
▶︎

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO

RC MJINI MAGHARIBI AAGIZA KUFUTWA KWA VIBALI VYA UJENZI NDANI YA HIFADHI ZA BARABARA
▶︎

RC MJINI MAGHARIBI AAGIZA KUFUTWA KWA VIBALI VYA UJENZI NDANI YA HIFADHI ZA BARABARA

Mjadala Kuhusu Ubaguzi, Kujengeka kwa Itikadi Kali, na Misimamo Mikali nchini Tanza
▶︎

Mjadala Kuhusu Ubaguzi, Kujengeka kwa Itikadi Kali, na Misimamo Mikali nchini Tanza

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST
▶︎

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI  | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42
▶︎

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42

🔴#TBCLIVE: UWASILISHAJI WA TAMKO LA MUAFAKA WA CCM NA ACT-WAZALENDO
▶︎

🔴#TBCLIVE: UWASILISHAJI WA TAMKO LA MUAFAKA WA CCM NA ACT-WAZALENDO

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.
▶︎

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.

DKT. SAADA : ZANZIBAR HAIWEZI KUBEBA MATIBABU YA WATU MILIONI 60, KAULI YANGU IMEPOKELEWA KISIASA
▶︎

DKT. SAADA : ZANZIBAR HAIWEZI KUBEBA MATIBABU YA WATU MILIONI 60, KAULI YANGU IMEPOKELEWA KISIASA