WANANCHI WAONYWA KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA ZANZIBAR
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeendelea kuwekeza katika ujenzi wa barabara za kisasa zenye miundombinu bora kwa lengo la kuboresha usafiri, usalama wa wananchi na kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Hata hivyo, kamera ya Asam Online TV imeshuhudia baadhi ya wananchi wakifanya vitendo vinavyoharibu miundombinu hiyo, ikiwemo kung'oa mifuniko ya mitaro, kuegesha magari kwenye njia za watembea kwa miguu, kufanya matengenezo ya magari barabarani pamoja na kumwaga maji kwenye mitaro. Wananchi waliozungumza na Asam Online TV wameeleza kuwa vitendo hivyo vinahatarisha usalama wa watumiaji wa barabara, hususan watembea kwa miguu, na kuharibu miundombinu iliyojengwa kwa gharama kubwa za Serikali. Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Barabara Zanzibar amewataka wananchi kutunza miundombinu hiyo na kuacha vitendo vya uharibifu, akisisitiza kuwa barabara ni mali ya umma na utunzaji wake ni jukumu la kila mwananchi ili ziendelee kutoa huduma kwa muda mrefu. "Linda miundombinu ya umma; maendeleo ni jukumu letu sote." #Zanzibar #Barabara #Miundombinu #UsalamaBarabarani #WakalaWaBarabara #AsamOnlineTV #ForYou #FYP #TikTokTanzania #InstaNews #TrendingNow

MAWASILIANO WAFUNGUKA ISHU YA UKAMATAJI WA VYOMBO VYA MOTO ZANZIBAR.

ULAYA WATOA BILIONI 33 KULINDA BAHARI ZANZIBAR "ITAKUZA UCHUMI WA BULUU"

RC MJINI MAGHARIBI AAGIZA KUFUTWA KWA VIBALI VYA UJENZI NDANI YA HIFADHI ZA BARABARA

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO

England – Argentinien Highlights | Halbfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

DC SAID HAJI MRISHO AKAGUA KARO LINALOVUJISHA MAJI MACHAFU FORODHANI

TOMONDO YAHIMIZWA KUENDELEZA UTAMADUNI WA USAFI WA MAZINGIRA

SGR KIGOMA UJENZI UNAENDELEA

CHINA NAE AMEAMUA KUINGIA MZIMA MZIMA SAKATA LA MFEREJI WA HORMUZ | JESHI LA MAREKANI LAWEKA VIZUIZI

Mkurugenzi Mkuu wa ZARTSA awaondosha wafanyabiashara waliopo pembezoni mwa barabara.

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.

ZAIDI YA MILIONI 200 KUTUMIKA KATIKA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA LA TAWI LA CCM - JANG'OMBE

AHUKUMIWA MIAKA 20 - ALIYE MCHARANGA VISU MKE MWENZIE

RC LINDI AZINDUA RASMI UJENZI WA KIVUKO CHA KISASA KINACHOJENGWA ZANZIBAR

Iran missiles batter US bases, with Jon Elmer

How Trump accidentally strengthened Europe | Fareed's Take

Severe Flooding in Texas Leaves 2 Dead; More Floods Expected

Neighbors Laughed at the Innovative Building of our CHEAP HOUSE, But Then They Were AMAZED!

WAZAZI WAONYWA KUONGEZA ULINZI WA WATOTO BAADA YA VIFO VYA WATOTO WATATU KWA KUZAMA

