SERIKALI KUJA NA MWAROBAINI WA CHANGAMOTO ZINAZOTOKANA NA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA

Kero ya wananchi hasa wakulima kuhusu stakabadhi za ghala imeibuka katika mkutano wa hadhara,wakati wa ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba katika Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma. Akiongea na mamia wa wananchi waliokusanyika katika kijiji cha Mnenia, amekiri suala hilo kuwa mwimba mchungu kwa wakulima wengi si tu ndani ya Kondoa pekee, bali Tanzania. Amesema kuwa suala la wakulima kutolipwa kwa wakati ni mwimba mchungu kwao kwani benki yako ni Mazao yao. Amesema atakaa na Wakuu wa Mikoa ya Ukanda huu pamoja na Viongozi wa Kisekta ili kuweka mpango kazi wa kushughulikia changamoto zinazotokana na utekelezaji wa mfumo huo. #DodomaFahariyaWatanzania #KeroYakoWajibuaWanguTabasamunaSamia #KazinaUtuTunasongaMbele

CHALAMILA AZUNGUMZIA MRUNDIKANO wa BAR na KELELE DAR - ATOA MAELEKEZO MAZITO KWA MIPANGO MIJI...
▶︎

CHALAMILA AZUNGUMZIA MRUNDIKANO wa BAR na KELELE DAR - ATOA MAELEKEZO MAZITO KWA MIPANGO MIJI...

WAITARA AMUIBUA YUDA BUNGENI, TUNACHANGANYA WATU, TUCHUNGE NDIMI ZETU, ATAJWE HADHARANI
▶︎

WAITARA AMUIBUA YUDA BUNGENI, TUNACHANGANYA WATU, TUCHUNGE NDIMI ZETU, ATAJWE HADHARANI

WAZIRI MKUU AKIPOKEA MAELEZO YA MRADI WA SHULE YA AMALI KINGALE KUTOKA KWA MKURUGENZI SAID MAJALIWA
▶︎

WAZIRI MKUU AKIPOKEA MAELEZO YA MRADI WA SHULE YA AMALI KINGALE KUTOKA KWA MKURUGENZI SAID MAJALIWA

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

Kibano Kipya Wamiliki Apartment, Nyumba za Barabarani Dar:'Apartments Zimekuwa Genge la Kihalifu'
▶︎

Kibano Kipya Wamiliki Apartment, Nyumba za Barabarani Dar:'Apartments Zimekuwa Genge la Kihalifu'

RC Senyamule Asisitiza Matumizi ya Stakabadhi za Ghala Kulinda Maslahi ya Wakulima
▶︎

RC Senyamule Asisitiza Matumizi ya Stakabadhi za Ghala Kulinda Maslahi ya Wakulima

🔴#LIVE: BUNGE LA BAJETI, WABUNGE WANAIKAANGA SERIKALI BUNGENI MUDA HUU
▶︎

🔴#LIVE: BUNGE LA BAJETI, WABUNGE WANAIKAANGA SERIKALI BUNGENI MUDA HUU

MKURUGENZI  MAJALIWA AFAFANUA  KERO ILIYOWASILISHWA NA MWANANCHI KWA WAZIRI MKUU MWIGULU NCHEMBA
▶︎

MKURUGENZI MAJALIWA AFAFANUA KERO ILIYOWASILISHWA NA MWANANCHI KWA WAZIRI MKUU MWIGULU NCHEMBA

WANANCHI WA DABALO WAKITOA PONGEZI KWA RAIS DKT SAMIA
▶︎

WANANCHI WA DABALO WAKITOA PONGEZI KWA RAIS DKT SAMIA

Sauti ya Mwananchi Kusikika: RC Awasha Mitambo!
▶︎

Sauti ya Mwananchi Kusikika: RC Awasha Mitambo!

🔴#LIVE: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA NANE TAREHE 11 JUNI, 2026
▶︎

🔴#LIVE: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA NANE TAREHE 11 JUNI, 2026

RC AKITOA SALAM ZA MKOA KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPIGA VITA MATUMIZI DAWA  ZA KULEVYA DUNIA.
▶︎

RC AKITOA SALAM ZA MKOA KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPIGA VITA MATUMIZI DAWA ZA KULEVYA DUNIA.

MKOA WA DODOMA WAFUNGUA RASMI UNUNUZI WA MAZAO KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA 2026/2027
▶︎

MKOA WA DODOMA WAFUNGUA RASMI UNUNUZI WA MAZAO KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA 2026/2027

MSUKUMA lashes out, calls out ZANZIBARIS to stop DISCRIMINATION, takes on PRESIDENT DR. MWINYI: "...
▶︎

MSUKUMA lashes out, calls out ZANZIBARIS to stop DISCRIMINATION, takes on PRESIDENT DR. MWINYI: "...

🅻🅸🆅🅴:BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027 TAREHE 11 JUNI, 2026
▶︎

🅻🅸🆅🅴:BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027 TAREHE 11 JUNI, 2026

Mambo 5 yaliyosititizwa na Waziri Mkuu wakati wa uwekaji jiwe la msingi Viwango House
▶︎

Mambo 5 yaliyosititizwa na Waziri Mkuu wakati wa uwekaji jiwe la msingi Viwango House

*MWENGE WA UHURU 2026 MKOA WA DODOMA KUPITA MIRADI YA BILIONI 23.2.
▶︎

*MWENGE WA UHURU 2026 MKOA WA DODOMA KUPITA MIRADI YA BILIONI 23.2.

30 May 2026
▶︎

30 May 2026

Rais Samia Suluhu Hassan amemkosoa mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina,
▶︎

Rais Samia Suluhu Hassan amemkosoa mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina,

RAIS DR SAMIA ATANGAZA KUPUNGUZA MATUMIZI YA MAFUTA SERIKALINI
▶︎

RAIS DR SAMIA ATANGAZA KUPUNGUZA MATUMIZI YA MAFUTA SERIKALINI