*MWENGE WA UHURU 2026 MKOA WA DODOMA KUPITA MIRADI YA BILIONI 23.2.

Na Mwandishi Wetu Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 Mkoa wa Dodoma ambao utapokelewa siku ya Jumapili Mei 31,2025, unatarajiwa kukimbizwa umbali wa Kilometa 1,595.3na kupitia miradi yenye thamani ya shilingi Bilioni 23,243,056,418.58iliyopo katika Halmashauri nane (08) za Mkoa. Hayo yamebainishwa na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Dkt.Khatibu Kazungu katika taarifa yake kwa vyombo vya habari juu ya mbio za Mwenge wa Uhuru 2026 katika Mkoa wake aliyoitoa leo Mei 29,2026,kwenye ukumbi wa Ofisi yake jengo la Mkapa Jijini humu. "Mwenge wa Uhuru 2026utakimbizwa umbali wa Km. 1,595.3utapitia miradi 54 kati ya hiyo miradi 21 itawekewa mawe ya msingi,Miradi 2 itafunguliwa, 20 itazinduliwa na 11 itatembelewa. Miradi yote ina thamani ya shilingi 23,243,056,418.58 katika miradi hiyo is mchanganuo ufuatao, Serikali kuu Bil.10.6 Halmashauri Bil. 4.1 Wafadhili Bil.6.6 na nguvu za wananchi Bil. 1.8 Aidha,KAZUNGU ametumia fursa hiyo kuwaalika wananchi wote wa Mkoa wa Dodoma kujitokeza kwa wingi kwenye mapokezi ya Mwenge wa Uhuru katika maeneo yote ambayo utapita kwani hii ni fursa nzuri kwao kuonesha umoja, kutangaza maendeleo yanayoendelea ndani ya Mkoa na kazi kubwa ambayo imefanywa na Serikali kwenye Mkoa. Mwenge wa Uhuru 2026 Mkoani Dodoma unatarajiwa kupokelewa kimkoa kwenye uwanja vya shule ya msingi Mtera, Wilaya ya Mpwapwa , utapita Wilaya zote 7 na Halmashauri 8 ambapo tarehe 31.utakimbizwa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ,Juni 1 Halmashauri ya Jiji la Dodoma,Juni 02 Halmashauri ya Wilaya ya Bahi,Juni 03 Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, 04 Juni Halmshauri ya Mji Kondoa,05 Juni Halmashauri ya Wilaya ya Chemba,06 Halmshauri ya Wilaya ya Chamwino,Juni 07 Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Mwenge wa Uhuru 2026 unaongozwa na Kaulimbiu: "Tanzania ni yetu sote,Tushikamane kwa pamoja kuleta maendeleo”

wazalendo kashuga wasalimu amari kwa Bahati Musanga Eraston mkuu wa Kivu Kaskazini upande wa M23
▶︎

wazalendo kashuga wasalimu amari kwa Bahati Musanga Eraston mkuu wa Kivu Kaskazini upande wa M23

DAWA YA RUTO!! Listen to Gachagua Powerful remarks today in Bungoma Church destroying Kasongo badly!
▶︎

DAWA YA RUTO!! Listen to Gachagua Powerful remarks today in Bungoma Church destroying Kasongo badly!

Sauti ya Mwananchi Kusikika: RC Awasha Mitambo!
▶︎

Sauti ya Mwananchi Kusikika: RC Awasha Mitambo!

NO ESCAPE FOR RUTO: As Lsk Lawyers Moves To Court To Stop Rutos & Mbadi New Finance Bill 2026‼️
▶︎

NO ESCAPE FOR RUTO: As Lsk Lawyers Moves To Court To Stop Rutos & Mbadi New Finance Bill 2026‼️

WANANCHI WA DABALO WAKITOA PONGEZI KWA RAIS DKT SAMIA
▶︎

WANANCHI WA DABALO WAKITOA PONGEZI KWA RAIS DKT SAMIA

MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI KUPITIWA NA MWENGE WA UHURU DODOMA
▶︎

MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI KUPITIWA NA MWENGE WA UHURU DODOMA

IKIGANIRO #KUKIVI  CO KU WA 12 RUHESHI 2026.
▶︎

IKIGANIRO #KUKIVI CO KU WA 12 RUHESHI 2026.

MATOKEO YA USAILI WA MAHOJIANO (ORAL) NA WALIOPO KWENYE KANZIDATA KUANZA KUWEKWA WAZI HIVI KARIBUNI
▶︎

MATOKEO YA USAILI WA MAHOJIANO (ORAL) NA WALIOPO KWENYE KANZIDATA KUANZA KUWEKWA WAZI HIVI KARIBUNI

MBIO ZA MWENGE 2026 -  UFUNGUZI WA KITUO CHA POLISI TOANGOMA 2026.
▶︎

MBIO ZA MWENGE 2026 - UFUNGUZI WA KITUO CHA POLISI TOANGOMA 2026.

Ruto heart attack as Sifuna and his troop holds Mega Rally in Thika with 'Sisi Ndio Sifuna!'
▶︎

Ruto heart attack as Sifuna and his troop holds Mega Rally in Thika with 'Sisi Ndio Sifuna!'

The REAL Reason Kang'ata Joined Linda Wananchi (The Gachagua Secret Exposed!) | Lee Makwiny
▶︎

The REAL Reason Kang'ata Joined Linda Wananchi (The Gachagua Secret Exposed!) | Lee Makwiny

DAWA YA RUTO!! Watch how John Methu held Big Rally in Ol Kalou to campaign for DCP Candidate!
▶︎

DAWA YA RUTO!! Watch how John Methu held Big Rally in Ol Kalou to campaign for DCP Candidate!

Wataalam wa damu salama watakiwa kuwashawishi wananchi kuchangia damu
▶︎

Wataalam wa damu salama watakiwa kuwashawishi wananchi kuchangia damu

HOW RC RUVUMA HANDED OVER THE UHURU TORCH TO NJOMBE
▶︎

HOW RC RUVUMA HANDED OVER THE UHURU TORCH TO NJOMBE

WANANCHI WA DODOMA KUSIKIA MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA KILA KATA (SAMIA DAY).
▶︎

WANANCHI WA DODOMA KUSIKIA MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA KILA KATA (SAMIA DAY).

Zelenskyy calls Putin obstacle to peace at G7 summit
▶︎

Zelenskyy calls Putin obstacle to peace at G7 summit

Sonko UNLEASHES On Robert Alai: "Mwizi Wa Mashamba! You Were An MCA By Mistake
▶︎

Sonko UNLEASHES On Robert Alai: "Mwizi Wa Mashamba! You Were An MCA By Mistake

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MPANGOKAZI WA KIJAMII KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI.
▶︎

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MPANGOKAZI WA KIJAMII KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI.

Was Ruto IGNORED by Trump at G7? The Full Truth They Don't Want You to See
▶︎

Was Ruto IGNORED by Trump at G7? The Full Truth They Don't Want You to See

'Lied to the American people': Nicolle on Trump's ballroom costing taxpayers HUNDREDS OF MILLIONS
▶︎

'Lied to the American people': Nicolle on Trump's ballroom costing taxpayers HUNDREDS OF MILLIONS