Rais Samia Suluhu Hassan amemkosoa mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina,
Rais Samia Suluhu Hassan amemkosoa mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, mbele ya wapigakura wake kwa kile alichokieleza kuwa ni tabia ya kutafuta umaarufu badala ya kutekeleza majukumu ya msingi ya uwakilishi wa wananchi. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Jumanne, Juni 17, 2025, katika mkutano wa hadhara uliofanyika Meatu, mkoani Simiyu, baada ya Mbunge Mpina kueleza matatizo ya jimbo lake akimtaka Rais kuyashughulikia. Akijibu hoja hizo, Rais Samia amesema, "Ndugu zangu, maombi kama haya yamekwishawasilishwa bungeni na mawaziri wakatekeleze. Kuleta maombi haya hapa kwenye mkutano wa Rais ni kujitafutia umaarufu na kuthibitisha kuwa Mbunge hakulifanyia haki jimbo lake." Rais Samia Amefafanua kuwa matatizo ya maendeleo katika jimbo kama ujenzi wa madaraja ni mambo ya kawaida yanayopaswa kushughulikiwa na wizara husika kupitia hoja na ushawishi wa mbunge bungeni, si kwa mikutano ya Rais. Amemshangaa Mbunge huyo kwa kutumia muda mwingi kuzungumzia miradi ya kitaifa kama Bwawa la Julius Nyerere na Reli ya Kisasa (SGR), badala ya kueleza kwa kina changamoto za Kisesa. Kwa mujibu wake, hali hiyo inaonesha kuwa Mpina ana mawazo ya kitaifa zaidi, na huenda angefaa kuwa Mbunge wa kuteuliwa kupitia nafasi 10 za Rais, badala ya kuwakilisha jimbo moja.

Luhaga Mpina Afunguka Mbele ya Rais Samia, Wananchi Wamashangilia Mwanzo-Mwisho: 'Kisesa Tunakudai'

Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"

MBUNGE ALIVYORUSHIANA MANENO NA SPIKA ATAKA KUMTOA NJE "KAA CHINI"

MJANE AMLILIA Mwigulu Nchemba BAADA YA KUIBIWA MILIONI 46 BENKI

DC MAGOTI AWABURUZA NDANI MATAPELI WA VIWANJA HOMBOZA

Halima Mdee Vs Goodluck Mlinga Bungeni

RAIS DKT. MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA KAHAMA - SHINYANGA AKIELEKEA CHATO MKOANI GEITA

MUSUKUMA AJILIPUA AWACHANA WAZANZIBAR AUMOMBA RAIS MWINYI ACHUKUE HATUA KWA MAWAZIRI WENYE UBAGUZI

Halima Mdee amuwashia moto Bashe; ashusha kiingereza Bungeni "Hii ni akili gani jamani?"

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA IFUNDA-IRINGA

TUNDU LISSU ALIVOWACHACHAFYA MAPOLISI MBELE YAO, NYIEEE, MNAUMIZWA HAMNA PAKUSEMEA

MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...

Kinachoendelea kwenye mgogoro wa kisiasa Zanzibar, OMO apasua jipu pwaa, mambo hadharani.

#KUMEKUCHA: JAKU ACHAGA BARAZANI ''sizungumzi kihindi '' ATAKA MAJIBU

WAZIR KITWANA Alivyomjibu MHe, SIMAI ATUMIA DAKIKA 8 KUMUELEWESHA

CCM YACHUKIZWA NA UTEKAJI, YAUMIZWA NA YALIYOTOKEA OKTOBA 29, BALOZI DKT ROSE MIGIRO ATETA NA KIKEKE

KESI HII ISHAKUWA NGUMU, PM MWIGULU ambana DC na MBUNGE na kuhitimika kwa MAMUZI MAGUMU ya PM

MBUNGE ALLY KESSY AMSHAMBULIA MBUNGE MWENZAKE "UMEACHANA NA MUME WAKO BAADA YA KUPATA UBUNGE"

SIMAI AFOKA ATEMA NYONGO BARAZANI ''mnampiga mtu faini laki tano mshahara wenyewe laki tatu''

