Linda Mwananchi wapendekeza Sifuna kupeperusha bendera ya upinzani 2027
Viongozi wa mrengo wa Linda Mwananchi wamevitaka vyama vya upinzani kumuunga mkono Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna, kama mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Wakizungumza mjini Bungoma, viongozi hao walisema eneo la Magharibi liko tayari kumpa Sifuna uungwaji mkono wa hali na mali ili kuhakikisha anaingia Ikulu. Aidha, wameiitaka Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuhakikisha uchaguzi wa mwaka 2027 unakuwa huru, wa haki na wenye kuaminika. Viongozi hao pia wamesisitiza kuwa watasimama kidete kulinda kura zao ili kuhakikisha matokeo ya uchaguzi yanaakisi matakwa ya wananchi. Melita Oletenges ana taarifa zaidi.

▶︎
Ruto Panic Flight EXPOSES His Fear of Sifuna|Plug Tv Kenya

▶︎
Babu Owino's full speech in Bungoma

▶︎
Sifuna receives hero's welcome as Linda Mwananchi rallies Western support

▶︎
Gachagua warns against splitting Mt Kenya vote

▶︎
Sifuna na msafara wa Linda Mwananchi watikisa Bungoma

▶︎
Ruto and Sifuna hold parallel political events as Western Kenya battle intensifies

▶︎
Duale defends remarks, demands Gachagua face NCIC too

▶︎
ODM leaders demand DP slot, endorse Oparanya for 2027

▶︎
Kenya Kwanza dismisses Linda Mwananchi, urges opposition to join government

▶︎
Ruto na Sifuna wakutana kisiasa Magharibi kupitia mikutano sambamba

▶︎
Nyota ya Edwin Sifuna | Mikoba Ya Demokrasia

▶︎
LIVE - Rigathi Gachagua BIG INTERVIEW with Media Houses from Meru

▶︎
Viongozi wa ODM wamtaka Oparanya awe mgombea mwenza wa Ruto

▶︎
Sifuna declares he's ready to quit ODM as Bungoma crowds endorse his presidential bid.

▶︎
Kenya Kwanza yapuuza mikutano ya Linda Mwananchi

▶︎
Sifuna warns Ruto, Mudavadi and Wetang'ula ahead of Western Kenya tour

▶︎
Sifuna Si Wa Kugawiwa Kiti Ni Yeye Mwenye Kugawa!

▶︎
10,000 Residents gather in BUNGOMA to CROWN SIFUNA FOR 2027| SIFUNA FOR PRESIDENT

▶︎
Sifuna STORMS Western: The EAGLE has landed!

▶︎
